Recent content by Kisewe

  1. K

    SABABU;Kwanini LOWASSA Haaminiki.

    Acha umbea jenga hoja cyo unapayuka tuu. Ushakunywa viroba unabofya kisimu chako
  2. K

    Namuonea huruma mama Lucy Nkya

    Weyaghe womsopa ayu gwe mleke
  3. K

    Namuonea huruma mama Lucy Nkya

    Fleelander unaonekana ni mtaalamu wa mitusi kama job lusinde kibajaji. Hongera sana mkuu pia kwa dharau zako kwa waluguru but we take it as a challenge to move forward. Kama unataka kukosoa makabila kiuwezo wakiutawala kwanza fuatilia records zao coz raisi ni mkwere na katibu prospa Mbena ni...
  4. K

    Kikwete na Lowassa kunani tena?

    Hata kwenye TV wameonekana hivohivo wapo jirani
  5. K

    Namuonea huruma mama Lucy Nkya

    Karogeresi ni kilaza sana aisee... tunahitaji kiongozi makini kuiokoa morogoro kusini. Haiwezekani matunda yanaoza kwa kukosa wanunuzi ama kununuliwa kwa bei ya inyonyaji wakat huku town juice yunanunua bei juu.matombo kuna machungwa,ndizi na maembe kibao lakini viongozi wanashindwa hata...
  6. K

    Namuonea huruma mama Lucy Nkya

    Kiukweli asipopatikana mgombea makini hii itakuwa fursa pekee kwa upinzani xyo siro
  7. K

    Namuonea huruma mama Lucy Nkya

    Naskia morogoro kusini ambako sasa hivi yupo Inocent karogelesi ataenda kugombea prospa Mbena afu kalogeres anaenda morogoro kusini mashariki kwa Lucy nkya Ila hawa wote ni vimeo aisee yani hakuna hata mwenye afadhari. Mfano kalogeresi 1.hajui hata kuongea wala kujenga hoja kuanzia jimboni...
  8. K

    Pinda, Werema waomba kujiuzulu. JK kuamua hatima saa moja usiku leo

    Kashfa ya stanbik kivipi sasa mkuu? Mbona unatuvuruga hapa!!!!!???
  9. K

    Msichana aongoza kwa ufaulu UDSM (4.8 GPA), Ana ndoto za kuja kuzaa watoto wasiopungua 7

    Mtoto mrembo afu anaakili class aisee safi sana doreen
  10. K

    Tanzia: Mwanamuziki Geez Mabovu aaga dunia

    Tuwekeeni picha tumuone jaman
  11. K

    shepu ya uchokozi

    Yalaaaaaa!!!!!!!!??
  12. K

    Zitto: Nashambuliwa, tunashambuliwa! PAC tunasema "Hatutetereki"

    Nakukubali sana zito, Mara nyingi huwa ukisimamia hoja unashinda...hii inaonesha dhahiri kuwa haukurupuki ktk kuchanganua na kuhoji mambo. Binafsi natamani sana nipate hata nafasi ya kushauriwa nawewe japo dk.10 namna ya kupambana na hawa maharamia ili nikaanze kuwaumbua watumishi mafisadi...
Back
Top Bottom