Fleelander unaonekana ni mtaalamu wa mitusi kama job lusinde kibajaji.
Hongera sana mkuu pia kwa dharau zako kwa waluguru but we take it as a challenge to move forward.
Kama unataka kukosoa makabila kiuwezo wakiutawala kwanza fuatilia records zao coz raisi ni mkwere na katibu prospa Mbena ni...
Karogeresi ni kilaza sana aisee...
tunahitaji kiongozi makini kuiokoa morogoro kusini.
Haiwezekani matunda yanaoza kwa kukosa wanunuzi ama kununuliwa kwa bei ya inyonyaji wakat huku town juice yunanunua bei juu.matombo kuna machungwa,ndizi na maembe kibao lakini viongozi wanashindwa hata...
Naskia morogoro kusini ambako sasa hivi yupo Inocent karogelesi ataenda kugombea prospa Mbena afu kalogeres anaenda morogoro kusini mashariki kwa Lucy nkya
Ila hawa wote ni vimeo aisee yani hakuna hata mwenye afadhari.
Mfano kalogeresi
1.hajui hata kuongea wala kujenga hoja kuanzia jimboni...
Nakukubali sana zito,
Mara nyingi huwa ukisimamia hoja unashinda...hii inaonesha dhahiri kuwa haukurupuki ktk kuchanganua na kuhoji mambo.
Binafsi natamani sana nipate hata nafasi ya kushauriwa nawewe japo dk.10 namna ya kupambana na hawa maharamia ili nikaanze kuwaumbua watumishi mafisadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.