Recent content by kisasangwe

  1. kisasangwe

    MBEYA: Walimu 4 wamvua nguo na kumchapa viboko mwanafunzi huku mmoja akimtomasa nyeti

    mwee hilo kosa gani la kushamuliwa na walimu wote hivyo. Waalimu mara nyingi wamekua chanzo cha wanafunzi kushindwa vibaya. yaani mnaanzaje kumshambulia hivyo. halafu na waalimu wa kike wako hapo mtoto anadhalilishwa namna hiyo. akishawataja hao mabwana zake then wangefanyaje kwa mfano. waalimu...
  2. kisasangwe

    Kitisho kikubwa: Kariakoo kuna wachawi kuliko popote

    mlikotheaaaa mngewekamo Bible afu akiiba mjue kenda kusoma ahahahha. vitu vingine bana. iliwahi nitokea mbagala...kila ukiweka hela kwenye droo ukafunga lazima ukija unakuta hela hamna. kilichofuata ni kuacha kuweka kwa dro na kuomba kila nikiingia ofisini....ila nilihama baadae...
  3. kisasangwe

    Badoo inanivunjia uchumba wangu

    ningekua mi ni wewe....kwenye hiyo bado ningeweka majina yangu halisi na ningeweka na picha alonitumia, kisha ninyamaze kimya. angekuja tu mwenyewe na ndiposa ningemwambia mama kwaheri. niliambiwa upo huko nikadhani uongo ila mejionea mwenyewe. endelea kuwa bado. usisambaze picha wala nini...
  4. kisasangwe

    Kuna nini Hospitali ya Kairuki?

    KAIRUKI NI MAJANGA. wengi watasema hapa lakini ni ukweli. alipasuliwa mama mmoja sababu y uvimbe kwenye jino. hakurudi yule mama. maana kwanza sijui walimfanyaje hadi tukatamani asingeenda kulingoa jino. juzi hapo kuna rafiki yangu alilazwa hapo mtoto alikua na malaria. ile anatoka doc akakagua...
  5. kisasangwe

    Yaliyojiri, Mgomo wa Madereva wa Mabasi nchini - Aprili 10, 2015

    kuna mtu kapita njia ya kigogo luhanga kuna magogo njiani yametandazwa hawataki gari barabarani. magomeni bajaji imevunjwa vunjwa hawataki mtu njian. manzese nilipita kuna patashika sijui kama imekwisha. hali si shwari
  6. kisasangwe

    Mtoto anataka kumjua baba yake

    Baba huyu nae mnafiki tu. sasa kwanini alimwambia mwanae kua huyo si dadake wa kushea baba. kama waliamua kuifanya siri basi ni bora angenyamaza kuliko tafrani alotengeneza. huyo dogo aende tu nyumbani akaombe radhi hakuna suluhu nyingine. na wazee waseme tu ukweli. bint wa form six mbona mkubwa...
  7. kisasangwe

    Miaka mitatu, mzazi mwenzangu anisaiidii malezi

    how i wish ungekua karibu yangu nikulambe viboko. kwanini hamjui thamani yenu nyie wadada. hivi unadhani kuna mtu hapo. kabisa yaani kama huwezi kuamua unawaza umpe nafasi nyingine chaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ote lanye ooootee nkinki mana uuuuuwi ngoja nilie kwanza maana bora...
  8. kisasangwe

    Kumwambia Babako kuwa Unampenda

    kwani kupenda ni nini? my son amekuzwa akinambia mama nakupenda na kunichum kila mara. sasa kuna shida gani mtoto kumwambia mzaziwe nakupenda. basi kama waona soo kusema baba nakupenda sema wazazi wangu nawapenda. hizi akili za kuwaza maneno ingine mbaya mbaya wachaa.
  9. kisasangwe

    Which Baby Are You? Me April.....!!!

    april and yeth yeth yeth mekamatwa mtunggoni
  10. kisasangwe

    brac kazi

    the so called ANNA PITA ni tapeli wa kimataifa, mi nilienda kwenye hizo ofisi zao hapo makonde na nikakutana na HRO wao akasema hawajatangaza kazi na hakuna ishu ya kulipa elfu kumi wala nini. huyu dada njaaaaaaa tu imekamata. Na huyo HRO akasisitiza kua huwa wakitangaza utoa kwenye magazeti...
  11. kisasangwe

    Mnyika fanya kazi yako, la sivyo 2015 utashindwa ubunge

    Mwezi wa tatu sasa hakuna maji hapo maeneo ya kibangu. hebu ukawabip na dawasco waje kurekebisha mabomba yao ya kichina waloweka.
  12. kisasangwe

    Huyu Mwanaume kama kuna type yake jamini....

    pole zimefika dada. aliumia sana hata ndugu pia walikwazwa na jambo hili. Kisaikolojia aliumia zaidi. Kwa sasa anafight kwa ajili ya kijacho wake. hata ndugu wa huyo kijana wanamfariji ingawa ameshaazimu hataki kumsikia kwa lolote. amehama hata alipokua anaishi lakini huyu kiumbe anamsaka kila...
  13. kisasangwe

    Huyu Mwanaume kama kuna type yake jamini....

    Naandika kwa masikitiko. Imemtokea rafiki yangu kipenzi. Alikua na mahusiano na kijana mmoja, wanatambulika hadi kwa wazazi. wakiwa kwenye prosess za kwenda kulipa mahari of which ilipangwa wangekwenda december bwana harusi mtarajiwa akatoa udhuru kua ana safari ya kikazi. aliporejea akamjuza...
  14. kisasangwe

    Kubwa Kuliko...!

    hadi nakuakua ndo nikajua kua majina haya yaliitwa hivi Sapeti- Elizabeth Makreti- Magreth Petiri- Petro Apel- Abel Nikolaa- Nicolaus mh. mika-Michael linyi-Linus
  15. kisasangwe

    Wachaga!sio watu hata kidogo!

    kye wiilia se wai? Koamba wachaka chi wandu phoe? chaaa uminyi koshaa. kuore wandu wakari cha menya nao nyi wachaka mangi oko. wandu wawarume leeri naiyo nuamba luwawe leeri... Uroko nyi mviao na URAARI nyi mbora mangi. ulawerelie uinengo tikyi pho nocheinengo na shilekelio. woooi uonyi ma...
Back
Top Bottom