Kiongozi hata sijui, labda malezi...wakati mwingine nahisi neno lipo kike sana...
Duuuh mi mwenyewe hadi nazeeka sijawahi kumtamkia baba wala mama hilo neno aisee
hata mama hujawahi? jaribu hata kwa njia ya simu mwambie nakupenda mama nimekumiss
Siwezi aisee hata yeye atashangaa...
Angekuwepo ningemwambia mara nyingi tu kuwa nampenda bahati mbaya aliondoka mapema sana hata sijajua maana wala kusema nakupenda
hawezi kushangaaa mama? jaribu siku moja mama na watoto wa kike wako peace unaogopa nn?
kuna kupenda kwa aina nyingi sana sasa hapa inategemea ni kupenda kupi!!!!
Angekuwepo ningemwambia mara nyingi tu kuwa nampenda bahati mbaya aliondoka mapema sana hata sijajua maana wala kusema nakupenda
Tamaduni tofauti.
Kiafrika afrika kwetu huko upendo wa familia unaonyeshwa kimatendo zaidi.
Kuna matendo mengine yakifanywa tunaona hakuna haja ya kusema nakupenda.
Kuna washua wa rika fulani hata mkewe hawezi kumwambia anampenda.
Hizi habari za dunia ya utandawazi zaidi.
kuna kupenda kwa aina nyingi sana sasa hapa inategemea ni kupenda kupi!!!!
Inawezekana unalosema lina mantiki...kiafrika na makuzi yetu huko vijijini nitaanzaje kumwambia "daddy I love you" khaaaaaa! Yani hata Sijui ataelewaje mzee yule..atahisi hana mtoto wa kiume tena..teh!Hii inategemea na makuzi,kama umezaliwa kwenye ile familia ambayo mtoto anavaa nusu uchi anatoka bafun na kanga iliyolowa kisha anaweza pita mbele ya baba ake aliyejifunga taulo pekee au kavaa bukta tumbo likiwa wazi,kimsingi ni kawaida kumuambia mzazi wako nakupenda huku umerembua macho na kiss la mdomo juu,vice versa kwa watt wa kiume kwa mama zao,..ila kama umezaliwa katika jamii
ile ya kuwa baba ako ni baada ya Mungu hapa dunia,na ukajua kuwa wazazi wako wanakupenda kwa vitendo ndio maana upo hapo ulipo na ukajua kuwa kuna umri ukifika lazima uheshimu mwili wako na akili zako zifikirie sawa sawa siyo kama wale watto wa lutu waliofanya mapenz na baba yao(chukulia picha ya jamii ile nzima) basi kumuambia mzazi wako wa jinsia tofaut na ww kuwa unampenda lazima tuanze kusema umeanza kuwa na laana ya kina lutu.