Huyu Mwanaume kama kuna type yake jamini....

kisasangwe

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
292
52
Naandika kwa masikitiko. Imemtokea rafiki yangu kipenzi.
Alikua na mahusiano na kijana mmoja, wanatambulika hadi kwa wazazi. wakiwa kwenye prosess za kwenda kulipa mahari of which ilipangwa wangekwenda december bwana harusi mtarajiwa akatoa udhuru kua ana safari ya kikazi. aliporejea akamjuza bi mkubwa kwamba yuko tayari. Mipango ikapangwa na wazazi wa binti wakajuzwa kua kuna ugeni tarehe flani. Kabla ya tarehe kufikia kijana akamfuata mamake mzazi akamwambia nataka niende ukweni na mama akampa baraka zote na kuwasiliana na nduguze walioko huko mkoani (maana wao wanaishi mjini) ili kwamba wampe kampan. kabla siku yenyewe haijafika kijana akaunga safari akaenda huko mkoani akiambatana na hao ndugu. Mama mtu akashangazwa na uharaka huo maana tarehe aliyoambiwa sio walokwenda. akampigia mwali wake kuuliza mbona wamepangua tarehe? Rafiki yangu huyu hakuwa ana taarifa zozote za safari ya mpenziwe hivo akamhakikishia mama mkwe mtarajiwa kwamba hakuna kilichobadilika.

kilichotokea ni kwamba the kijana muoaji alikwenda kweli mkoani akapita maeneo ya huyu rafiki yangu ila akaenda kutoa mahari kwa mtu mwingine kabsaaa na aliporejea town hapa hakusema chochote. After some few day dada wa huyu rafiki yangu akapigiwa simu na shogake kumjulisha kua aliekua shemejie mtarajiwa KAFUNGA NDOA YA BOMANI wakati huo walikua wanajipongeza kwa harusi hio maeneo flani. kwa kutotaka umbea dada mtu akafunga safari kwenda kuona kwa mboni zake n kweli akakuta maharusi wapo na wanaserebuka. Tafadhali kumbuka kua rafiki yangu huyu hakua anajua lolote hadi hapo dadake alipompigia na kumjuza. walipopiga kwa kijana alizima simu. wakataka ufafanuzi kwa mama nae akaaaaaapa kua kinachoendelea hakielewi hata chembe.

Hapa ndo naposhindwa kushangaaa kwa kweli, hivi huyu kiumbe alikua na nia gani hasa. kwani angesema tu kabla ya maandalizi hayo yoooooote kua hamtaki si angeeleweka. the worst thing ni kwamba my friend ni preg. baada ya tukio kijana anapiga simu eti anaomba msamaha. msamaha gani anaoutaka jamani kwa makusudi haya.

story ni ndeefu ila tu jamani kama wapo wanaume wenye tabia hii mbaya hata wanawake mh hebu Mungu awasamehe kwanza maana hata sijui niwaweke kundi gani.
 
Sema sababu wanadamu twataka what is always best for us..... Sema bahati mbaya ama nzuri huyo dada ni mja mzito, lakini kweli kabisa huyo mwanaume ana roho mbaya na very selfish. Kuenda to such extremes kufanya hivo.... Huyo dada ajihesabu mwenye bahati tu yaani in other words naweza sema kaepuka kikombe kichafu na kisichomfaa.... Najua ni ngumu, najua kaumia na najua kua ni ngumu kumeza.... BUT Believe me you Mungu siku zoote ana mipango yake kwa wanadamu na huwezi jua nini hasa kaepuka hapo thou kwa sasa haiwezi onekana hivo.... Mpe mhusika pole sana.
 
Sema sababu wanadamu twataka what is always best for us..... Sema bahati mbaya ama nzuri huyo dada ni mja mzito, lakini kweli kabisa huyo mwanaume ana roho mbaya na very selfish. Kuenda to such extremes kufanya hivo.... Huyo dada ajihesabu mwenye bahati tu yaani in other words naweza sema kaepuka kikombe kichafu na kisichomfaa.... Najua ni ngumu, najua kaumia na najua kua ni ngumu kumeza.... BUT Believe me you Mungu siku zoote ana mipango yake kwa wanadamu na huwezi jua nini hasa kaepuka hapo thou kwa sasa haiwezi onekana hivo.... Mpe mhusika pole sana.
naungana mkono na wewe asha
 
Naandika kwa masikitiko. Imemtokea rafiki yangu kipenzi.
Alikua na mahusiano na kijana mmoja, wanatambulika hadi kwa wazazi. wakiwa kwenye prosess za kwenda kulipa mahari of which ilipangwa wangekwenda december bwana harusi mtarajiwa akatoa udhuru kua ana safari ya kikazi. aliporejea akamjuza bi mkubwa kwamba yuko tayari. Mipango ikapangwa na wazazi wa binti wakajuzwa kua kuna ugeni tarehe flani. Kabla ya tarehe kufikia kijana akamfuata mamake mzazi akamwambia nataka niende ukweni na mama akampa baraka zote na kuwasiliana na nduguze walioko huko mkoani (maana wao wanaishi mjini) ili kwamba wampe kampan. kabla siku yenyewe haijafika kijana akaunga safari akaenda huko mkoani akiambatana na hao ndugu. Mama mtu akashangazwa na uharaka huo maana tarehe aliyoambiwa sio walokwenda. akampigia mwali wake kuuliza mbona wamepangua tarehe? Rafiki yangu huyu hakuwa ana taarifa zozote za safari ya mpenziwe hivo akamhakikishia mama mkwe mtarajiwa kwamba hakuna kilichobadilika.

kilichotokea ni kwamba the kijana muoaji alikwenda kweli mkoani akapita maeneo ya huyu rafiki yangu ila akaenda kutoa mahari kwa mtu mwingine kabsaaa na aliporejea town hapa hakusema chochote. After some few day dada wa huyu rafiki yangu akapigiwa simu na shogake kumjulisha kua aliekua shemejie mtarajiwa KAFUNGA NDOA YA BOMANI wakati huo walikua wanajipongeza kwa harusi hio maeneo flani. kwa kutotaka umbea dada mtu akafunga safari kwenda kuona kwa mboni zake n kweli akakuta maharusi wapo na wanaserebuka. Tafadhali kumbuka kua rafiki yangu huyu hakua anajua lolote hadi hapo dadake alipompigia na kumjuza. walipopiga kwa kijana alizima simu. wakataka ufafanuzi kwa mama nae akaaaaaapa kua kinachoendelea hakielewi hata chembe.

Hapa ndo naposhindwa kushangaaa kwa kweli, hivi huyu kiumbe alikua na nia gani hasa. kwani angesema tu kabla ya maandalizi hayo yoooooote kua hamtaki si angeeleweka. the worst thing ni kwamba my friend ni preg. baada ya tukio kijana anapiga simu eti anaomba msamaha. msamaha gani anaoutaka jamani kwa makusudi haya.

story ni ndeefu ila tu jamani kama wapo wanaume wenye tabia hii mbaya hata wanawake mh hebu Mungu awasamehe kwanza maana hata sijui niwaweke kundi gani.

kwakweli SOME Men!are just so selfish..story yako inaendana kidogo na a friend of mine,sema ye hakua pregnant..kamvumilia the guy hadi kapata kazi(she used to help him out in one way or the other),.ile kashika vijihela tu,kaoa mwingne bila kusema...saa zingine laana zinatafutwa mi naona..huyo msichana akubali matokeo,alee mwanae and amtangulize Mungu mbele..mpe pole.
 
Sema sababu wanadamu twataka what is always best for us..... Sema bahati mbaya ama nzuri huyo dada ni mja mzito, lakini kweli kabisa huyo mwanaume ana roho mbaya na very selfish. Kuenda to such extremes kufanya hivo.... Huyo dada ajihesabu mwenye bahati tu yaani in other words naweza sema kaepuka kikombe kichafu na kisichomfaa.... Najua ni ngumu, najua kaumia na najua kua ni ngumu kumeza.... BUT Believe me you Mungu siku zoote ana mipango yake kwa wanadamu na huwezi jua nini hasa kaepuka hapo thou kwa sasa haiwezi onekana hivo.... Mpe mhusika pole sana.

pole zimefika dada. aliumia sana hata ndugu pia walikwazwa na jambo hili. Kisaikolojia aliumia zaidi. Kwa sasa anafight kwa ajili ya kijacho wake. hata ndugu wa huyo kijana wanamfariji ingawa ameshaazimu hataki kumsikia kwa lolote. amehama hata alipokua anaishi lakini huyu kiumbe anamsaka kila siku. Kwa kweli sijui watu wengine wameumbwa vipi.
 
Mpe polesa sana, yani huyo dada anajuuuta kuhafamu huyu gume gume, mwambie asitoteze mda kufata wala kumuuliza amfute katika maisha yake aangalie maisha yake na mwanawe...
 
C'est la vie

Mpe pole sana. . .mwambie maisha yanasonga mbele. Atulie alee mimba yake na maumivu ya moyo, mwisho wa siku atapata wakumfaa.
 
Pole, mjuze rafiki yetu kuwa asihuzunike kwa hilo. Nyota njema huonekana tangu asubh. huyo hakuwa mume wa kweli kwake. na akumbuke ndoa hupangwa na Mungu mwenyewe, hiyo huenda amemuepushia balaa.
amshukuru mungu kwa kila jambo, hata kama ni preg, naamini mungu atampa nguvu ya kulea mwanae mtarajiwa then atatokea mwingine aliyeandikiwa kuwa naye. maisha hayawezi kusimama katika hili, najua ataumia sana na ni jema akubali hali halisi asonge mbele na maisha.
 
Hii ndo dunia, fujo na rafu nyingi sana.
Mpe pole huyo dada na kama alivyosema AD, anabahati sana japo atakuwa alipata aibu ya mtoa mahari kutoenda.
 
Huu ni ukatili..

Mimi napenda mtu hata akinichoka aniambie live niumie maisha yaende lakini kuumizana kiasi hiki ni unyama..gosh!
 
mi nawaangalieni tu kinamama belinda,asha,lizzy et al.
Kupuu apuu kuku,akipuu bata......mia
(source:figanigga).
 
Jf kuna mambo?
Afu mleta mada umetumia lugha ngumu sana kumeza, sina hakika kama nimeelewa.
Hebu toa mtihani kama ntapata 50%
 
Dah! hii ni roho mbaya live. hakuna sababu anaweza toa aeleweke hapo. Mpe muhusika support ya kutosha, mwambie amsahau jamaa.
 
Back
Top Bottom