kisasangwe
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 292
- 52
Naandika kwa masikitiko. Imemtokea rafiki yangu kipenzi.
Alikua na mahusiano na kijana mmoja, wanatambulika hadi kwa wazazi. wakiwa kwenye prosess za kwenda kulipa mahari of which ilipangwa wangekwenda december bwana harusi mtarajiwa akatoa udhuru kua ana safari ya kikazi. aliporejea akamjuza bi mkubwa kwamba yuko tayari. Mipango ikapangwa na wazazi wa binti wakajuzwa kua kuna ugeni tarehe flani. Kabla ya tarehe kufikia kijana akamfuata mamake mzazi akamwambia nataka niende ukweni na mama akampa baraka zote na kuwasiliana na nduguze walioko huko mkoani (maana wao wanaishi mjini) ili kwamba wampe kampan. kabla siku yenyewe haijafika kijana akaunga safari akaenda huko mkoani akiambatana na hao ndugu. Mama mtu akashangazwa na uharaka huo maana tarehe aliyoambiwa sio walokwenda. akampigia mwali wake kuuliza mbona wamepangua tarehe? Rafiki yangu huyu hakuwa ana taarifa zozote za safari ya mpenziwe hivo akamhakikishia mama mkwe mtarajiwa kwamba hakuna kilichobadilika.
kilichotokea ni kwamba the kijana muoaji alikwenda kweli mkoani akapita maeneo ya huyu rafiki yangu ila akaenda kutoa mahari kwa mtu mwingine kabsaaa na aliporejea town hapa hakusema chochote. After some few day dada wa huyu rafiki yangu akapigiwa simu na shogake kumjulisha kua aliekua shemejie mtarajiwa KAFUNGA NDOA YA BOMANI wakati huo walikua wanajipongeza kwa harusi hio maeneo flani. kwa kutotaka umbea dada mtu akafunga safari kwenda kuona kwa mboni zake n kweli akakuta maharusi wapo na wanaserebuka. Tafadhali kumbuka kua rafiki yangu huyu hakua anajua lolote hadi hapo dadake alipompigia na kumjuza. walipopiga kwa kijana alizima simu. wakataka ufafanuzi kwa mama nae akaaaaaapa kua kinachoendelea hakielewi hata chembe.
Hapa ndo naposhindwa kushangaaa kwa kweli, hivi huyu kiumbe alikua na nia gani hasa. kwani angesema tu kabla ya maandalizi hayo yoooooote kua hamtaki si angeeleweka. the worst thing ni kwamba my friend ni preg. baada ya tukio kijana anapiga simu eti anaomba msamaha. msamaha gani anaoutaka jamani kwa makusudi haya.
story ni ndeefu ila tu jamani kama wapo wanaume wenye tabia hii mbaya hata wanawake mh hebu Mungu awasamehe kwanza maana hata sijui niwaweke kundi gani.
Alikua na mahusiano na kijana mmoja, wanatambulika hadi kwa wazazi. wakiwa kwenye prosess za kwenda kulipa mahari of which ilipangwa wangekwenda december bwana harusi mtarajiwa akatoa udhuru kua ana safari ya kikazi. aliporejea akamjuza bi mkubwa kwamba yuko tayari. Mipango ikapangwa na wazazi wa binti wakajuzwa kua kuna ugeni tarehe flani. Kabla ya tarehe kufikia kijana akamfuata mamake mzazi akamwambia nataka niende ukweni na mama akampa baraka zote na kuwasiliana na nduguze walioko huko mkoani (maana wao wanaishi mjini) ili kwamba wampe kampan. kabla siku yenyewe haijafika kijana akaunga safari akaenda huko mkoani akiambatana na hao ndugu. Mama mtu akashangazwa na uharaka huo maana tarehe aliyoambiwa sio walokwenda. akampigia mwali wake kuuliza mbona wamepangua tarehe? Rafiki yangu huyu hakuwa ana taarifa zozote za safari ya mpenziwe hivo akamhakikishia mama mkwe mtarajiwa kwamba hakuna kilichobadilika.
kilichotokea ni kwamba the kijana muoaji alikwenda kweli mkoani akapita maeneo ya huyu rafiki yangu ila akaenda kutoa mahari kwa mtu mwingine kabsaaa na aliporejea town hapa hakusema chochote. After some few day dada wa huyu rafiki yangu akapigiwa simu na shogake kumjulisha kua aliekua shemejie mtarajiwa KAFUNGA NDOA YA BOMANI wakati huo walikua wanajipongeza kwa harusi hio maeneo flani. kwa kutotaka umbea dada mtu akafunga safari kwenda kuona kwa mboni zake n kweli akakuta maharusi wapo na wanaserebuka. Tafadhali kumbuka kua rafiki yangu huyu hakua anajua lolote hadi hapo dadake alipompigia na kumjuza. walipopiga kwa kijana alizima simu. wakataka ufafanuzi kwa mama nae akaaaaaapa kua kinachoendelea hakielewi hata chembe.
Hapa ndo naposhindwa kushangaaa kwa kweli, hivi huyu kiumbe alikua na nia gani hasa. kwani angesema tu kabla ya maandalizi hayo yoooooote kua hamtaki si angeeleweka. the worst thing ni kwamba my friend ni preg. baada ya tukio kijana anapiga simu eti anaomba msamaha. msamaha gani anaoutaka jamani kwa makusudi haya.
story ni ndeefu ila tu jamani kama wapo wanaume wenye tabia hii mbaya hata wanawake mh hebu Mungu awasamehe kwanza maana hata sijui niwaweke kundi gani.