Recent content by KIRUNGI

  1. KIRUNGI

    Karibuni ADC kwa wote waliochoshwa na ufisadi wa CCM na CCM 'B' na ubabe wa CHADEMA

    Adc itakuwa mkombozi wa kweli,cdm inauwawa na chauma
  2. KIRUNGI

    ushauri tafadhali

    acheni porojo
  3. KIRUNGI

    Hr akisema taifa kwanza vyama baadae

    yalipomfika yepi?
  4. KIRUNGI

    Hr akisema taifa kwanza vyama baadae

    Mbunge wa wawi mh.Hamad Rashid Mohamed,ambaye pia ni muwakilishi wa tanzania ktk umoja wa mabunge duniani (CPA)aliwaeleza wajumbe wa semina ya uchaguzi ktk mfumo wa kidemokrasia jana,kwamba vyama vimekua vinatizama sn maslahi yao nakusahau maslahi ya wananchi wanao wakilishwa. Ndo sababu...
  5. KIRUNGI

    Proved: Halima Mdee alinena

    Jamani muwe wakweli wengine ikiwa kwenu hamsemi,mbona alipoteuliwa prf.WESIGA BAREGU Kwenye tume ya katiba hamkusema pandikizi?na zaidi ya yote Baregu akamsifia jk nkwa uteuzi mzuri
  6. KIRUNGI

    ADC na bendera kama ya CHADEMA

    Mpango kabambe wa ccm kutaka kuidhoofisha chadema, hiyo bendera haikubaliki kabisa. Wanachadema wote tuipinge, huu ni undumilakuwili si wangetumia ya ndugu yao ccm au ya mama yake cuf
  7. KIRUNGI

    ADC na bendera kama ya CHADEMA

    Adc hata kazi haijaanza nynyi tayali mavi yanagonga chupi.kazeni buti safari bado iko ubungo
  8. KIRUNGI

    ADC na bendera kama ya CHADEMA

    ma taahila ni viongozi wa cdm,(MASHIMBONI)walioigilizia sale za mgambo ili hali likirushwa bom moja la machozi pipoz pawa inahamia chmbani
  9. KIRUNGI

    ADC na bendera kama ya CHADEMA

    mbona ya marekani ina nyota hujatabili itaongeza mwezi? kma leo unataka kujua maana ya nyota nyota za marekani zina maana gan?acheni woga jipangeni
  10. KIRUNGI

    Lipumba - Anayewagawa Watanzania hatakiwi CUF! (Mbona Jussa yupo?)

    Mm ninapenda kushauri bure,prof awe anafanya tafiti kila anapoambiwa jambo na seif au jusa.wote hawa ni waongo na ndo wabaguzi wakubwa,naomba nikumbushe baadh ya matamshi ya seif,alisema lzm rais atoke zanzibar,jusa nae alisema lengo la kuanzishwa cuf ni kuwakomboa wa znz na kushika dola znz wap...
  11. KIRUNGI

    ADC na bendera kama ya CHADEMA

    uongo ukiachwa muda mrefu bila kukanushwa hugeuka ukweli.bendera ya ya ADC imefananaje na cdm?mbona hamkusema kma bendera ya cdm ilibadilishwa rangi ili ifanane na cuf?acheni woga.cdm ina vidole v2, ADC ina nyota3 wap na wap?huo u ccm mnao utaja ni upi?mbona nyny mlienda kunywa juice ya ccm wa2...
  12. KIRUNGI

    Kundi la Hamad Rashid Lasambaratika warejea CUF

    kundi la hamad limetetelekaje?ttzo lenu mnadhani wapiga kura wamo kwenye jamiiforums.yasin mrotwa aulizwe huko mbeya ana nn chakuonyeshea cuf ipo mbeya?muulizeni uchaguz mkuu alipata kura ngapi za lipumba na wabunge kwenye wilaya yake?hapo ndipo utaona kwamba simba akikosa nyama anakula hata...
  13. KIRUNGI

    Prof Lipumba kunguruma kesho kibandamaiti Zanzibar.

    jamani jaribuni kuchagua mambo yakuleta humu ndani,mtu anashabikia m.kiti wa chama taifa kwenda kuhutubia mkutano kibanda maiti,bila kujiuliza kwann chama anacho kiongoza hakishiriki uchaguzi arumelu????????????huko znz si wamo na serikalini?bara kuna nn?
  14. KIRUNGI

    CUF kutumia sh 500 milioni kwa mapokezi ya Lipumba

    hiyo nisawa na m2 kufanya fahari ktk mazishi,jambo ambalo lilipaswa kufanyiwa m2 akiwa mgonjwa huenda angepona
  15. KIRUNGI

    CUF kutumia sh 500 milioni kwa mapokezi ya Lipumba

    Mwenye kuiweka mimba hiyo nani?
Back
Top Bottom