KIRUNGI
Member
- Jan 14, 2012
- 41
- 8
kundi la hamad limetetelekaje?ttzo lenu mnadhani wapiga kura wamo kwenye jamiiforums.yasin mrotwa aulizwe huko mbeya ana nn chakuonyeshea cuf ipo mbeya?muulizeni uchaguz mkuu alipata kura ngapi za lipumba na wabunge kwenye wilaya yake?hapo ndipo utaona kwamba simba akikosa nyama anakula hata kinyesi'kwa katuga sishangai kwakua shida ni mishahara na siyo ukombozi sawa;MKUMBUKE kuna mwisho wa porojo