Hr akisema taifa kwanza vyama baadae

KIRUNGI

Member
Jan 14, 2012
41
8
Mbunge wa wawi mh.Hamad Rashid Mohamed,ambaye pia ni muwakilishi wa tanzania ktk umoja wa mabunge duniani (CPA)aliwaeleza wajumbe wa semina ya uchaguzi ktk mfumo wa kidemokrasia jana,kwamba vyama vimekua vinatizama sn maslahi yao nakusahau maslahi ya wananchi wanao wakilishwa.

Ndo sababu havisiti kumfukuza mbunge yyte kwakuwa vyama haviathiriki kwa kiwango sawa na kile ambacho watakacho athirika wananchi waliokosa uwakilishi kutokana na uamuzi wawatu wachache, bila kukumbuka hata ikiwa uchaguzi utarudiwa bado anaebeba gharama za uchaguzi huo ni mwananchi kwakua ndiye mlipa kodi pamoja na mambo mengne mm mleta mada naomba kujua kutoka kwenu wadau kwa maneno haya ya mh HR vipi ile hoja ya mgombea bianafsi ilifia wapi?labda hilo linge punguza ubabe wa viongozi madikteta wasiyo kubali ukweli na kukosolewa.
 

Attachments

  • photo.JPG
    photo.JPG
    74.3 KB · Views: 39
  • photo-1.JPG
    photo-1.JPG
    73.6 KB · Views: 46
Mbunge wa wawi mh.Hamad Rashid Mohamed,ambaye pia ni muwakilishi wa tanzania ktk umoja wa mabunge duniani (CPA)aliwaeleza wajumbe wa semina ya uchaguzi ktk mfumo wa kidemokrasia jana,kwamba vyama vimekua vinatizama sn maslahi yao nakusahau maslahi ya wananchi wanao wakilishwa.

Ndo sababu havisiti kumfukuza mbunge yyte kwakuwa vyama haviathiriki kwa kiwango sawa na kile ambacho watakacho athirika wananchi waliokosa uwakilishi kutokana na uamuzi wawatu wachache,bila kukumbuka hata ikiwa uchaguzi utarudiwa bado anaebeba gharama za uchaguzi huo ni mwananchi kwakua ndiye mlipa kodi pamoja na mambo mengne mm mleta mada naomba kujua kutoka kwenu wadau kwa maneno haya ya mh HR vipi ile hoja ya mgombea bianafsi ilifia wapi?labda hilo linge punguza ubabe wa viongozi madikteta wasiyo kubali ukweli na kukosolewa.
Alikuwa wapi kusema hivyo hadi siku yalipomfika.
 
Back
Top Bottom