Lipumba - Anayewagawa Watanzania hatakiwi CUF! (Mbona Jussa yupo?)

a. kama ni easier go ahead and convice them to withdraw from union; lakini CUF wao wanataka serikali tatu na wanaanda wananhi kubadilisha muundo wa Muungano hawajawahi kuficha hiyo objectives from day one..

b. Hivi CUF , CDM CCM ni mgawanyiko huo you must be kidding, mbona wazenj wengi wako kwenye vyama hivyo lakini bado ni wazanzibar..

Tension za waislamu na wakristo Tanganyika zinaletwa na kanisa kwa kutoa michapisho ya kichochezi na ubaguzi kila inapokaribia uchaguzi .issue ni kuwatisha viongozi wa serikali wasithubutu kuondoa upendeleo wanaopewa kutoka kwenye mfuko wa umma through MoU..wamefanikiwa..

Tatizo lililopo sio kanisa hata siku moja tatizo ni ujinga na upeo mfupi kama size za viatu hasa pale wale ambao hawakuwahi kuona kuta za madarasa na wale waliobahatika tena kwa kutumia assets za kanisa wanapofikiri katika upeo uleule huku wakiwa ndani ya box la unafiki wenye uvundo. Ukiwa na watu wa aina hii kwenye jamii lazima kila tatizo watafute mchawi. Hawawezi kusumbua bomgo zao na kuangalia namna ya kuleta ufumbuzi endelevu na yakinifu.Hapana. Na mara nyingi habari kwao chanzo ni vijiweni na waganga wa kienyeji. Maendeleo na mawazo endelevu chanzo chake hajawahi kuwa vijiwe vya kariakoo, manzese na tandika. Mnatakiwa kuvuka wingu lilitanda akili iliyodumaa ili muyaone maswala katika taswira yake isiyo kuwa na ubaguzi
 
Mm ninapenda kushauri bure,prof awe anafanya tafiti kila anapoambiwa jambo na seif au jusa.wote hawa ni waongo na ndo wabaguzi wakubwa,naomba nikumbushe baadh ya matamshi ya seif,alisema lzm rais atoke zanzibar,jusa nae alisema lengo la kuanzishwa cuf ni kuwakomboa wa znz na kushika dola znz wap imesemewa bara?nina amini prof alifanya uchunguz na aka amua kuwa ambia ukweli kina jusa na maalim.kma hakua na maana hiyo bac nashauri bprof awe anachunguza kwanza,kwa heshima aliyo nayo ajue anayo nafasi yakufanya vzr baada ya kifo cha cuf nadhani atakuja kuwa mgombea binafsi kwakua 40 za cuf bzishatimia na kma kna asiye amini asubirie miez 6 ijayo
 
Tatizo lililopo sio kanisa hata siku moja tatizo ni ujinga na upeo mfupi kama size za viatu hasa pale wale ambao hawakuwahi kuona kuta za madarasa na wale waliobahatika tena kwa kutumia assets za kanisa wanapofikiri katika upeo uleule huku wakiwa ndani ya box la unafiki wenye uvundo. Ukiwa na watu wa aina hii kwenye jamii lazima kila tatizo watafute mchawi. Hawawezi kusumbua bomgo zao na kuangalia namna ya kuleta ufumbuzi endelevu na yakinifu.Hapana. Na mara nyingi habari kwao chanzo ni vijiweni na waganga wa kienyeji. Maendeleo na mawazo endelevu chanzo chake hajawahi kuwa vijiwe vya kariakoo, manzese na tandika. Mnatakiwa kuvuka wingu lilitanda akili iliyodumaa ili muyaone maswala katika taswira yake isiyo kuwa na ubaguzi

Naona likitajwa kanisa kuchota pesa za umma through MoU unaudited pofu likatoka kisa unafaidika na huo mfumo..lol

Hamuwezi ku -sustain unjustice kwa kutoa michapisho kila unapokaribia uchaguzi kugawa wananchi na kuwatisha wanasiasa nchi ikabaki salama..acheni ujinga huoo..

Kanisa wanafanya uwizi sawa na richmond, epa etc..wanatakiwa wafikiria watoke kwenye huo mnyonyoro wa ufisadi vinginevyo hatutaacha kimya milele..
 
Prof Lipumba katoa kali ya mwaka alipokuwa anawahutubia wananchi wa visiwani Zanzibar na kusema wamwogope mtu anayewagawa watanzania kiunguja, kiupemba na kiutanganyika kuwa ahitajiki CUF na aogopwe kama ukoma cha ajabu Jusa naye yupo na kahutubia.

Hivi kweli yanatoka miyooni mwao au ndo ngozi ya kondoo?

Source ITV
Inabidi Prof. Lipumba aambiwe ukweli, that is too little too late.
Damage waliyofanya watu wajinga wajinga Kama Juha Jussa is costing them dear, and it cannot be un-done.
Walikuwa wa wanafikiri katika mustakabali wa Zanzibar kwa misingi ya kidini na kibaguzi, wananchi wana respond in kind.
As a political vehicle CUF is dead in the water, as far as Tanganyikans are concerned.
 
Jusa haonekani kwa viongozi wenzake kama anawagawa wananchi kwakuwa anatoa matamko ambayo ni utekelezaji wa maazimio ya kamati ya utendaji.

Siku akijaribu kutamani nafasi za masultani wa cuf watamgeuka hapo hapo na kumuita majina mabaya ya kila aina.

Hamad rashid alionekana mbaya kwakuwa alianza kuitamani nafasi ya usultani wa maalim seif pamoja na kuanza kuwaunganisha watanganyika na wapemba+waunguja kitu ambacho ni kinyume na sera yao!
 
a. kama ni easier go ahead and convice them to withdraw from union; lakini CUF wao wanataka serikali tatu na wanaanda wananhi kubadilisha muundo wa Muungano hawajawahi kuficha hiyo objectives from day one..

b. Hivi CUF , CDM CCM ni mgawanyiko huo you must be kidding, mbona wazenj wengi wako kwenye vyama hivyo lakini bado ni wazanzibar..

Tension za waislamu na wakristo Tanganyika zinaletwa na kanisa kwa kutoa michapisho ya kichochezi na ubaguzi kila inapokaribia uchaguzi .issue ni kuwatisha viongozi wa serikali wasithubutu kuondoa upendeleo wanaopewa kutoka kwenye mfuko wa umma through MoU..wamefanikiwa..

Mkuu ingawa signature yako sijaipenda ulitakiwa useme "ZITTO for presidency 2015" ila umeongea point kiasi.
Hili taifa litafanikiwa ikiwa atapatikana kiongozi atakayewaweka pembeni viongozi wa kidini wanao lobby serikali kila kukicha kwa manufaa yao binafsi.
 
Jusa haonekani kwa viongozi wenzake kama anawagawa wananchi kwakuwa anatoa matamko ambayo ni utekelezaji wa maazimio ya kamati ya utendaji.

Siku akijaribu kutamani nafasi za masultani wa cuf watamgeuka hapo hapo na kumuita majina mabaya ya kila aina.

Hamad rashid alionekana mbaya kwakuwa alianza kuitamani nafasi ya usultani wa maalim seif pamoja na kuanza kuwaunganisha watanganyika na wapemba+waunguja kitu ambacho ni kinyume na sera yao!

Hata zitto naye yatamkuta yaliomkuta HR anabahati sana kajitoa kwenye uchaguzi ujao wa chadema, maana uenyekiti wa CDM ni mali ya Mbowe na katibu wa milele ni Slaa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom