Wee mwenzangu umeshika mpini mie nimeshika makali ninayo mengi ya kuongea ila wala sikufichi naogopa uwenda na wewe Ukawa miongoni mwa wasiojulikana maana siku hizi mseme nyinyi tukisema cc basi tunaonekana wasaliti kwa kifupi umeshinda
Malasusa yuko kwenye kama time ya amani inayounganishwa na baadhi ya viongozi ambao wengi wao w anaonekana kama mahakama wa serikali hivyo kusoma waraka kawa one a haya matumizi wenzie wa serikali hivyo mwacheni atengwe aende zake
Hawa chahali, mange kimambi na answer to ngurumo w anatakiwa waige unapenda wa kunyenyekea kama wa musiba
Ndio aneyetoa michango ya maana na ya kizalendo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.