Kumbe MwanaHaki wa JF alishafariki?

Kumbe MwanaHaki wa JF alishafariki?

Msimsahau na nyani ngabu nasikia nae kata toka sijui kuna ukweli wowote tujuzane basi
 
niko hai wapendwa huyo member sijui ana matatizo gani na mimi. Imenisikitisha .... who does that????

hata ikitokea nimefariki mimi nafahamiana na members wengi so watu watajua tu sio huyo wa kunizushia halafu hata simfaham
Yaan hata hivyo sikuamini kabisa ,nafurahi kwa kuja kujibu na kutoa utata huu
We miss you
 
Alikua ni mtu mwenye mipango na maono makubwa,inasikitisha ila ndo hivo ardhi inameza vipawa vingi sana...
 
Tatizo hizi ID zetu zinafanya tusijue maisha yetu...inaonekana wengi wanakufa ila hatujui kama wanakufa
Ni kweli kabsaaa mkuu,,sasa tutafanya nini??
Wakati wengi wetu tunaficha id zetu???

Wengi sanaaaaa members humu wanafariki lakini hatupati Taarifa yoyote...
Wachache sanaaa wanaotumia majina yao halisi na wanajulikana hata likitokea tatzo basi taarfa zao zinaenea sanaaaa humu sanaaa.
 
Binadamu ni mavumbi na mavumbi tutarudi...!!
 
Ukifa kabla yake? Napo utaruka kwa furaha? Unadhani kifo ni bahati mbaya? Ni pito la kila mmoja na usifurahi akifa mwenzio maana hata wewe siku yako yaja!!

Mungu naye anangalia wa kuwachukua, kama mtu anaikosea jamii nzima unataka Mungu amwache wa nin
 
Mungu naye anangalia wa kuwachukua, kama mtu anaikosea jamii nzima unataka Mungu amwache wa nin
Unadhani wote wanaokufa ni waovu kuliko wanaobaki?
Nadhani akili yako huitumii vizuri kukusaidia kuelewa mambo.
 
Back
Top Bottom