Mwingereza
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 1,115
- 2,771
Billionaire wa kitanzania, Mohamed Said Bakhresa anawekeza kiasi cha Dola za kimarekani $320million kwa ajili ya kiwanda cha Sukari kitakachojengwa eneo la"Nakambala" Zambia. Kiwanda hicho kitajengwa kuanzia mwezi wa 9 mwaka huu.
Mwekezaji huyo amepewa ardhí yenye hector 4,000 kwa ajili ya ujenzi wa kiwanda pamoja kilimo cha miwa. Kadhalika Mwekezaji huyo wa kitanzania anapewa TAX holiday ya miaka 10 kuanzia pale kiwanda kitakapoanza uzalishaji. Hii ni pico kubwa kwa serikali ya Tanzania, ambayo kauli mbiu yake kubwa ni uchumi wa wiwanda.
Source: Confidant in Zambia Ministry of Finance
Mwekezaji huyo amepewa ardhí yenye hector 4,000 kwa ajili ya ujenzi wa kiwanda pamoja kilimo cha miwa. Kadhalika Mwekezaji huyo wa kitanzania anapewa TAX holiday ya miaka 10 kuanzia pale kiwanda kitakapoanza uzalishaji. Hii ni pico kubwa kwa serikali ya Tanzania, ambayo kauli mbiu yake kubwa ni uchumi wa wiwanda.
Source: Confidant in Zambia Ministry of Finance