Abu Hurairah(r.a) ameeleza kuwa Mtume wa Allah amesema"Yule aliyemwamini Allah na siku ya mwisho Hatamdhuru jirani yake, atamkirimu mgeni wake na ataongea mazuri au atakaa kimya.
[Bukhari na muslim]
Kujiheshimu na kuwaheshimu wengine
Katika Uislamu kila mtu anayo haki ya kuheshimiwa. Heshima
ni haki ya mwanaadamu aliyozaliwa nayo. Miongoni mwa mambo ya
msingi aliyousia Mtume (s.a.w) katika khutuba yake ya kuaga aliyoitoa
katika uwanja wa Arafa 9 Dhul-Hijjah 10A.H, ni kulinda heshima ya kila...
usipende kutukana mzazi wa mwenzako akitukanwa wako utajiskiaje?
elimu huna kasome ulimi wako utakuponza kama unafurahisha watu basi jua wapo unawakera
kunatofauti kubwa kabisa ya uislamu na uarabu ama waarabu
Amani wanayoitaka marekani ni kwakupitia vifaru silaha kali na kila mbinu ila wapinzani wao wakitumia wanaonekana wanavunja taratibu
Amani ya china ama korea ipo kwa7bu ukipindisha wanyongwa
JE TZ amani yenu na malawi ulikuwa mnaitakaje...
Yoyote yule enyi watu anayemzulia jambo lolote la uongo mtume muhammad(s.a.w) hakika anapata madhambi makubwa sna na siku ya qiyama atarudishiwa na atapata adhabu kali
Ama kweli mliyoyaficha moyoni ni makubwa zaidi ya yale mnayoyadhihirisha machoni
mpaka tufwate njia yaupotevu kama ninyi ndo mtakuwa radhi na sisi kamwe haliwezekani
hilo ni darasa kwetu sisi waumini wacha tulifanyie kazi yatosha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.