mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,161
- 3,496
Wamekosa life skills
Sio watu wa pwani, Watanzania kiujumla! Tanzania ni nchi ya watu maskini tu, usijidanganye eti watu wa 'bara' matajiri..
Wamekosa life skills
Ingekuwa miji ya Pwani ni maskini,mngekimbia bara mkaja Pwani,Dar,Tanga,toka enzi zakuja na gari ya taa moja,mababu zenu wa bara,walikuja Pwani kutafuta maisha,na mpaka nyinyi mnaozaliwa sasa ndoto yake kuja miji ya pwani,Dar,Tanga.Mkishajifunza ustarabu,hamrudi kwenu.
Ndio ujue anayekimbia kwao,kwao kuna shida.Hata wazungu walitoka bara la ulaya na kwenda USA kutafuta maisha.
Ulimuona wapi MTU wa pwani akawa omba omba,Dar wamejaa watu Dodoma,Morogoro,Singida,Mwanza,Shinyanga,wanalala kwenye mabaraza ya wahindi,na watoto wao.Maeneo yote ya bara alikopita mzungu maisha magumu.Ndio mana wabara wengi wanakimbilia mikoa ya Pwani.Dar imeanzishwa na muarabu angalia ilivyo na maendeleo.Na ustaraabu wa wenyeji,na mji ulivyo na bandari nzuri aliyoianzisha muarabu.Lakini miji aliyokuwako mzungu mpaka leo maendeleo hakuna,umaskini wa kutupwa.Miji haikupangika,miundombinu ya ovyo.
mkuu hii inaweza ikawa ni sababu kubwa.
Unapotanguliza hisia fulani au mahaba ya kitu kwenye kila jambo pengine inaweza kuwa sababu ya kushindwa kupambanua na kujadili mada kwa mapana yake.Mkoa uliokaliwa na waarabu kwa muda mrefu kuliko yote hapo TZ ni Daresalaam. Mpaka wakatoa na jina la huo mji. Na sehemu ya Pili ni ZANZIBAR!
Nakuuliza. We unaonaje Uchumi wa Hizi sehemu MBILI?
Sasa nenda Singida walikokaa wazungu wa kigalatia uone Vumbi lake.
Mkuu wabara ni watu wa wapi?kweli wanaotoka Bara wameendelea zaidi kuliko watu wanaotoka Pwani. Ukitembelea huko bara utaona namna wanavo enjoy maisha na maendeleo binafsi:
View attachment 192406 Wabara wakiwa katika magorofa yao.
View attachment 192407wabara wakiwa na investors wao
View attachment 192408wabara akiandaa balance diet , mlo wa waloendelea
View attachment 192409
View attachment 192410wabara wakiwa katika kazi za maendeleo
Mkuu wabara ni watu wa wapi?
Umeelewa swali langu kweli mkuu? Au ume-quote tu kujifurahishahiyo kibuyu ya pombe inaoshwa na mkojo wa ng'ombe teh teh teh nyani haoni kundule
Hivi hili suala linakaaje maana ukisema kuwa hawafanyi kazi nakataa kwa sababu wengi wao ni watu wa kujishughulisha sana hasa katika suala zima la biashara.
Lakini licha ya kujishughulisha huko watu hawa wanabaki kuwa na maisha magumu na ya chini au wanashindwa kabisa kujikomboa katika maisha magumu. Tatizo ni nini wakuu lipo wapi kwa watu wa pwani walio wengi?
Hivi hili suala linakaaje maana ukisema kuwa hawafanyi kazi nakataa kwa sababu wengi wao ni watu wa kujishughulisha sana hasa katika suala zima la biashara.
Lakini licha ya kujishughulisha huko watu hawa wanabaki kuwa na maisha magumu na ya chini au wanashindwa kabisa kujikomboa katika maisha magumu. Tatizo ni nini wakuu lipo wapi kwa watu wa pwani walio wengi?