Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,969
- 13,419
Hivi hata mtu akifanya Ugaidi bado mnamchukulia ni Mwislam?
Kama mtu kajitangaza ya kuwa yeye ni muislam na akafanya ugaidi au baya lolote lile ataendelea kuwa muislam,vivyo hivyo kwa muumini wa dini yoyote ile iliyopo chini ya jua. Kazi ya kuhukumu ni yake M/mungu.
Nalog off