Mohammad is top name for baby boys in England

Mohammad is top name for baby boys in England

Status
Not open for further replies.
Wewe mbwiga labda huelewi kilichoandikwa, wacha tukutafsirie, wamesema jina la Muhammad halipo kwenye 'official' top ten, kutokana kuandikwa/kutamkwa tofauti, kuna yanayoandikwa/tamkwa Muhammad kuna Mohammad na Mohammed, yote hayo yana maana/lengo moja, ukiyajumlisha hayo maana yake jina Mohammad/Muhammad /Mohammed linaongoza likiwa limeliacha kwa mbali sana jina linaloshika nafasi ya pili... Umeelewa, linaongoza kiuhalisia.
Nope. Muhammad is not in the top ten.
 
Magoti ya wagalatia pekee ndo yatampigia yesu goti la muislam alisahau kabisa uyo yesu wenu

Proof kuwa shetani anafanya kazi yake akijificha nyuma ya mgongo wa uislamu na kuwa Yesu hawezi kamwe kuwa ndie Issa anaetajwa kwenye quran! iweje umkane kama kweli Yesu ndie Issa?
 
muhammad
 

Attachments

  • 1408378479276.jpg
    1408378479276.jpg
    69.1 KB · Views: 108
Proof kuwa shetani anafanya kazi yake akijificha nyuma ya mgongo wa uislamu na kuwa Yesu hawezi kamwe kuwa ndie Issa anaetajwa kwenye quran! iweje umkane kama kweli Yesu ndie Issa?

Kweli makafiri hamna akili.

Huyu kamjibu huyo anaesema kwa yesu kila goti litapigwa.

Kisha yeye akasema siyo kila goti.

Goti la muislam hupigwa kwa mungu mmoja pekee alie muweza wa yoote na sio kwa yule msela mzungu.
 
Wewe mbwiga labda huelewi kilichoandikwa, wacha tukutafsirie, wamesema jina la Muhammad halipo kwenye 'official' top ten, kutokana kuandikwa/kutamkwa tofauti, kuna yanayoandikwa/tamkwa Muhammad kuna Mohammad na Mohammed, yote hayo yana maana/lengo moja, ukiyajumlisha hayo maana yake jina Mohammad/Muhammad /Mohammed linaongoza likiwa limeliacha kwa mbali sana jina linaloshika nafasi ya pili... Umeelewa, linaongoza kiuhalisia.

Kwani katumwa akimbie shule??... asikushughulishe bana..
 
Kweli makafiri hamna akili.

Huyu kamjibu huyo anaesema kwa yesu kila goti litapigwa.

Kisha yeye akasema siyo kila goti.

Goti la muislam hupigwa kwa mungu mmoja pekee alie muweza wa yoote na sio kwa yule msela mzungu.

Tatizo sio idea kuwa Mungu ni mmoja!!

Hata waabudu ng"ombe wanaamini mungu ni mmoja!Shida inakuja pale wale wanaohubiri wanaabudu mungu mmoja, mungu wao amewahaidi ataingia jehanamu lkn hakuwaambia atatokaje,amewahaidi pepo ya pombe(ulanzi,komoni,konyagi etc),amewahaidi makahaba wa kuwastarehesha jenanamu pia wakati huohuo mtume wao alikuwa muuaji,mwizi na mbakaji na mbaya zaidi hata utume alipewa na mganga wa kienyeji!!!!!!

Huyu mungu wa namna hii lazima atakuwa MWENDAWAZIMU!!!
 
kati ya vitu mnavyo haribu ni kuchanganya jina na imani ya mtu. kwangu mie hakuna uhusiano hata kidogo, japokuwa wengi hulazimisha jina kugusiana na imani.

mfano. itasaidia nini mtu kuitwa Mohammed wkt yeye ni mlawiti wa kutupwa? mfano huyo mzee wa zenji aliye lawiti mwanae na jina lake la kiislam, je ni muumini? au yule mwalimu wa chuo(madrasa) mtwara.

au, mtu akaitwa Paul lkn huyo ni mzinzi, mlawiti, mwizi, shoga na kila aina ya dhambi anayo, je wakristo wajivune kuwa huyo ni mkristo?

na je mtu awe ntamaholo maana yake hakuna amani lkn akawa mcha mungu, akamwabudu mungu kwa kumaanisha na mtu wa upendo kwa wote. je, huyu tumchukulieje?

mie ni mkristo, sijawahi kutana na mahali ambapo maandiko yanaagiza tuwaiteje majina watoto wetu.

ukisoma kitabu cha hosea, Mungu aliwaita watoto watatu wa Hosea na kila jina lina maana yake ambayo Mungu aliikusudia. mfano katika HOSEA 1:1FF:-
"

jina la Yesu lingine aliamriwa aitwe Emanuel yaani Mungu pamoja nasi.

hivyo, jina ni:-
1. historia ya wakati husika.
2. kumbu ya matukio hadi kupatikana kwa mtoto
3. shukrani maalum n.k
 
Tatizo sio idea kuwa Mungu ni mmoja!!

Hata waabudu ng"ombe wanaamini mungu ni mmoja!Shida inakuja pale wale wanaohubiri wanaabudu mungu mmoja, mungu wao amewahaidi ataingia jehanamu lkn hakuwaambia atatokaje,amewahaidi pepo ya pombe(ulanzi,komoni,konyagi etc),amewahaidi makahaba wa kuwastarehesha jenanamu pia wakati huohuo mtume wao alikuwa muuaji,mwizi na mbakaji na mbaya zaidi hata utume alipewa na mganga wa kienyeji!!!!!!

Huyu mungu wa namna hii lazima atakuwa MWENDAWAZIMU!!!

Kama huyo mungu ni mwendawazimu basi sawa.

Tusubiri tuh.

Kufa kunakuja soon tutajua baada ya kufa nani yupo kwenye haki na nani yupo kwenye upotofu.

Tuna shida gani ya kuandikia mate na wino ungalipo??

Lets wait.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom