Naombeni Msaada wenu wa mawazo tafadhali,Mimi ni Mkristo nina mke lakini nahisi nilifanya uchaguzi usio sahihi maana sina hisia nae kabisa japo tumezaa pamoja mtoto,najitahidi Kumpenda lakini wapi naombeni msaada wenu nifanyeje?je kumwacha ili nisiendelee kumuumiza inawezekana?kidini ikoje hiyo?
Nadhani wewe ndo wa kukunwa maana hujui mpaka leo kuwa Mh Mnyika ni maarufu zaidi ya mkweo,hizi kauli za watu kutafuta umaarufu zinatolewa na watu waliokufa akili tu.na mara nyingi viongozi wa bunge wanatoa kauli za kutafuta umaarufu pale wanapoona wanazidiwa na hoja NZITO zinazotolewa na vijana...
Nadhani wewe ni m1 wa watu mnaopotosha madai ya madaktari,hawadai posho tu kwa ujumla madai yao yanahusu mazingira yote yanayohusu kazi yao,kama vifaa tiba,mazingira mazuri ya kazi na posho,sasa watu wenye upeo finyu kama nyie ndo mmeshikilia jambo moja tu Posho posho,mbona hivyo vingine ambavyo...
Nadhani wewe ndo huna maana tena kabisa,tatizo ni madaktari kukataa kufanya kazi au ni serikali kukataa kutimiza wajibu wao?Mafisadi wanataka kula kodi wenyewe sasa huo upuuzi hatuutaki,kodi tunalipa wenyewe wao wale peke yao.MADAKTARI UNGANENI MHAKIKISHE HAMRUDI KAZINI HADI WALIOFANYA HUO...
Usichanganye mambo ya dini kwenye migomo,kumbuka hata hizo za kidini zitazidiwa ikiwa za serikali ziko kwenye mgomo cha muhimu ni serikali kuwalipa madr kutimiziwa haja zao siasa kuwekwa kando kwenye mambo ya kitaalam.
Binadamu kughafilika ni jambo la kawaida hasa kwenye mazingira ya tension kama hayo,kwa upeo wangu mdogo wa ndanda palivyo nimewahi kufika mara moja,eneo lote limekaa kimissionari hata shughuli wanazofanya pale haziendani na uislam mfano mmoja kufuga nguruwe so sidhani mtakubali msikiti ujengwe...
Sasa angekuwa na domo bubu angempata vipi Josephine?au wake za watu ndo wanatongozeka kirahisi?inaelekea una uzoefu na mkeo kutongozwa na kukubali kirahisi.crap
Sisi kwa sisi inaelekea una element za udini,Mh Simbakalia leo asubuh alikuwa TBC na kaelezea vizuri sana kuwa serikali imeruhusu wanafunzi wote wa kidato cha sita wafanye mtihani unaoanza j5,kaelezea pia hizo zinazoitwa vurugu zinachochewa na externa forces katoa mfano wa hao wanafunzi badala...
Habari wana jf,leo katika taarifa ya habari za michezo pamoja na kwenye baadhi ya magazeti kuna taarifa kuwa zile sh.milion saba timu ya wanawake ya Twiga walizochangiwa na timu ya wabunge zimechakachuliwa na TFF kupitia meneja wa timu ya wanawake, wachezaji wametishia kugomea mchezo wao na...
Helo!Sita kaongea ukweli tunashuhudia madini na uwekezaji mwingine hauna tija kwa taifa,hivyo hata hilo zao halitakuwa na faida zaidi ya uporaji wa ardhi kwa wanyonge kama unavyoendelea sehemu mbalimbali Tz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.