Husninyo
Platinum Member
- Oct 24, 2010
- 24,167
- 10,226
Husneee....niajeeeee......Heri ya mwaka mpyaaaaa.......
poa preta!!! naona umetupia mambo za tanga pale kati. usisahau kuja kuchukua weaving utokeleze. michyuuuuu mno.
Husneee....niajeeeee......Heri ya mwaka mpyaaaaa.......
Hakuna kuacha....Jifunze kumpendaNaombeni Msaada wenu wa mawazo tafadhali,Mimi ni Mkristo nina mke lakini nahisi nilifanya uchaguzi usio sahihi maana sina hisia nae kabisa japo tumezaa pamoja mtoto,najitahidi Kumpenda lakini wapi naombeni msaada wenu nifanyeje?je kumwacha ili nisiendelee kumuumiza inawezekana?kidini ikoje hiyo?
hahahhahhahahhahahah have a coke tu bana!
au mtu aniambie maana ya uasherati!ila kama ni huu huu naoujua mie basi ndoa nyingi sana sio halali yailahi! kwa haya mambo nayoyaona mie mpka umri huu!lolz
Naombeni Msaada wenu wa mawazo tafadhali,Mimi ni Mkristo nina mke lakini nahisi nilifanya uchaguzi usio sahihi maana sina hisia nae kabisa japo tumezaa pamoja mtoto,najitahidi Kumpenda lakini wapi naombeni msaada wenu nifanyeje?je kumwacha ili nisiendelee kumuumiza inawezekana?kidini ikoje hiyo?
jamani asa ndoa si uvumilivu mhh yani wanaume jamani hapo ukute kipata demu mwingineMwambie siku hizi haumpendi kama zamani, umsikilizie atasemaje, pengine naye pia hakupendi like before.
Asante kwa ushauri nitajitahidi japo najifeel tofauti sanaKwanza nikupe hongera kwa kukifikia kituo hiki cha 'loss of marital bliss' a.k.a 'feelings' ukiwapo ndoani bado...Labda nikuambie kwamba hata ukiwa peke yako, kuna mda maisha yanapoa sana kiasi cha kutokuwa na meaning kabisa!
Sasa ukifikia hapa haina maana kwamba ndio muda wa kujiua umefika. Ni juu yako kuurudisha.
i) Hakuna incompatibility tena once ndoa imefungwa. God can make the bond perfect, honestly kama kungekuwa na kitu kama 'incompatibility' kwenye ndoa then biblia ingesema. Unafikiri Mungu hajui hiyo hali ya ndoa yako? kwamba hajui wengi watafanya makosa katika uchaguzi?
ii) Labda nikuoneshe hiki. Love that results from friendship.Unakaa na mtu kwa mda mrefu then u wake up in the morning and you are in love with them. Ili hizo chemical zinazosababisha feelings zirun in your body then inabidi vitu vingi vifanyike. Kwanza anzisha tena casual relationship, ongea naye kama rafiki tu share matatizo yenu na mtafute solution pamoja. Jaribuni kufanya majukumu ya familia( KUPIKA, KUFUA, KUFANYA USAFI NJE NA NDANI) pamoja, nendeni kwenye vikao vya kijamii pamoja. Kisha tumieni muda wa ziada pamoja. Tena ikiwezekana muambiane tunafanya kazi kwa mutual agreement hakuna kulazimishana na kulaumiana ni mwiko.
iii) Through sharing your love will bloom again....na ni kitu kidogo tu kitaleta hizo feeling. You can love someone simply by their dedication in cleaning your place...Labda umeacha kuspend time nyumbani ukaona jinsi mkeo anavyojitolea kuhudumia familia ndio maana humuoni wa maana tena. Honestly if you take into account everything she does utaona tu strength zake.
ndo maana kuna kusameheana hii ni pale tu unaposhindwa kusamehe hata kanisa lintakua radhi ivunjwe hiyo ndoa
kuna kanisa linavunja ndoa kwa ajili ya kushindwa kusamehe? Suprise umeolewa?(nahisi we ni mdada samahani kama nimekosea)
una miaka mingapi kwenye ndoa yako?marafiki na ndugu na staff wwenzio wanaizungumziaje ndoa?
hahaha kumbe me mdada eenh, snowhite mwaya hata mlango wa ndoa cujui mie
mi huwa napenda kutoa ushauri kwa kuuliza maswali kama hutajali!Naombeni Msaada wenu wa mawazo tafadhali,Mimi ni Mkristo nina mke lakini nahisi nilifanya uchaguzi usio sahihi maana sina hisia nae kabisa japo tumezaa pamoja mtoto,najitahidi Kumpenda lakini wapi naombeni msaada wenu nifanyeje?je kumwacha ili nisiendelee kumuumiza inawezekana?kidini ikoje hiyo?
hahaha kumbe me mdada eenh, snowhite mwaya hata mlango wa ndoa cujui mie
sa ndo hutaki toa kitchen part beforethat explains a lot of things!
usijali mwaya ukifika utajionea!
nikwambie tu ndoa ni zaid ya hivi wengi tunavoistafsiri!
believe me!