Kwani ni lazima huyu nyoni awepo wizarani!!?? kwa faida ya nani??
A trillion dollar question!
Kwani ni lazima huyu nyoni awepo wizarani!!?? kwa faida ya nani??
Hata KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL CENTRE (KCMC) ni ya kanisa pia ww ulitakaje? nonsese kabisa masaburi wee.bungando sio ya kanisa? hivi wanakuwa wauji kiasi hichi? Bora tu huu makataba wa MOU uvunjwe
bungando sio ya kanisa? hivi wanakuwa wauji kiasi hichi? Bora tu huu makataba wa MOU uvunjwe
poleni sana WATANZANIA WENZANGU, lakini hakuna namna , lazima tupitie mambo magumu kuelekea ukombozi kamili
Kauli ya Mkuu wa Nchi na Serikali. Anayo kauli mkuu kweli akose kauli.
Hivi kweli Bugando si ni hospitali ya Kanisa imekuwaje na wao wanagoma tena?
Usichanganye mambo ya dini kwenye migomo,kumbuka hata hizo za kidini zitazidiwa ikiwa za serikali ziko kwenye mgomo cha muhimu ni serikali kuwalipa madr kutimiziwa haja zao siasa kuwekwa kando kwenye mambo ya kitaalam.Inasikitisha sana, hata mimi nilitegemea kuwa hospitali za kidini ndiyo zitakuwa kimbilio kwa watanzania lakini nako sasa mambo ni hovyo! Madaktari ambao kabla ya kazi mnafanya sala, iweje mnashindwa kumuogopa Mungu na nyie mnageuka kuwa wauaji?
bungando sio ya kanisa? hivi wanakuwa wauji kiasi hichi? Bora tu huu makataba wa MOU uvunjwe
bugando ni hospitali ya kanisa! Inatuhusu nini sisi? Chukueni michango ya waumini muwalipe madaktari mmezoea kuchukua pesa za serikali kushughulikia kanisa. Soon mtarealize kuwa mwisho wenu waja,
everything will come to an end. Imeanza kwa russia na china veto yao dhidi ya wauaji wa magharibi, sasa itakuja hapa bongo mtafute pa kwenda
Bugando na KCMC ni hospitali za kanisa naomba maelezo wanaingiaje kwenye mgomo huu sambamba na Muhimbili na hospiali zingine za umma? Napata shida kupata tafsiri yake.
poleni sana WATANZANIA WENZANGU, lakini hakuna namna , lazima tupitie mambo magumu kuelekea ukombozi kamili
Hivi avatar hazina copy right, kama ni mtu flani vile...Tanzania ina kila kitu,.....
Ila haina watanzania tu.
Ndo maana kila mtu ananoa kisu akate nyama aende kwao.
Inabidi sasa pinda achukue madaktari wengine toka magereza,..
wengine toka FFU,....
wengine toka zimamoto,...
wengine toka mgambo,...
na kwingne alikodai atapata sijui CUBA,.....
Na hospitali ya Jeshi Lugalo mgomo unanukia....