Mkuu wa Mkoa wa Mtwara anamhujumu kisiasa Kikwete: Waislam

Status
Not open for further replies.

sisi kwa sisi

Senior Member
Feb 1, 2012
119
2
Nimesikiliza redio moja ya kiislam leo , yaani redio imani. masheikh mbali mbali walisikika wakimlaumu mkuu wa Mkoa wa Mtwara Joseph Simbakalia kwa madai ya kwamba licha ya serekali kuwaruhusu wanafunzi waliofukuzwa ndanda yeye anajaraibu kuweka vikwazo.

Wanadai hii ni mbinu ya Mkuu wa Mkoa huyo kuwachelewesha watoto hao kuhudhuria shule ili waislam waingie jazba na kuanza kumshutumu kikwete . wanadai hii ndio mbinu anayotumia mkuu wa Mkoa huyo hiyo ili kuifanya tz iChini ya JK kwa kuwa ni muislam isitalike kama wanavyonukuliwa na baadhi ya wanasiasa nchini, wanadai hii ndio sera za hata viongozi wa kitaifa wakiona rais muislam.

walidai amekataa kutii amri ya waziri Kawambwa kwa kuwa ni muislam tu. walifananisha na utawala wa Mwinyi, Migomo ilienea kila sehemu .

Akihojiwa na redio hiyo unamuona hasa mkuu wa Mkoa huyo anavyochikanganya chakanya kuhusu swala hilo na kushindwa kujibu maswali ya msingi
.
 
Sisi kwa sisi inaelekea una element za udini,Mh Simbakalia leo asubuh alikuwa TBC na kaelezea vizuri sana kuwa serikali imeruhusu wanafunzi wote wa kidato cha sita wafanye mtihani unaoanza j5,kaelezea pia hizo zinazoitwa vurugu zinachochewa na externa forces katoa mfano wa hao wanafunzi badala ya kurudi makwao wamehifadhiwa kwenye msikiti wa jirani kwa muda mrefu.

Sasa swali kama sio kuchochewa na hao wanaowahifadhi si wangerudi makwao mpaka swala lao lipatiwe ufumbuzi? Vile vile kasema serikali haiwezi kujenga nyumba za ibada sababu sio jukumu lake ikitokea watu wanataka kujenga wanarusiwa tu kama mwenye eneo karidhia.
 
sisi kwa sisi inaelekea una element za udini,mh simbakalia leo asubuh alikuwa tbc na kaelezea vizuri sana kuwa serikali imeruhusu wanafunzi wote wa kidato cha sita wafanye mtihani unaoanza j5,kaelezea pia hizo zinazoitwa vurugu zinachochewa na externa forces katoa mfano wa hao wanafunzi badala ya kurudi makwao wamehifadhiwa kwenye msikiti wa jirani kwa muda mrefu,sasa swali kama sio kuchochewa na hao wanaowahifadhi si wangerudi makwao mpaka swala lao lipatiwe ufumbuzi?vile vile kasema serikali haiwezi kujenga nyumba za ibada sababu sio jukumu lake ikitokea watu wanataka kujenga wanarusiwa tu kama mwenye eneo karidhia.
hahaha. Kajikosha tu. Kwani kosa kukaa msikitini? Kwanini yeye amekuwa kikwazo?

na lile swali la yeye kujidai hapo mwanzo shule zote za makanisa zimetaifishwa majengo tu. mbona kajiakanyaga kulijibu?
 
kwa madai ya kwamba licha ya serekali kuwaruhusu wanafunzi waliofukuzwa ndanda yeye anajaraibu kuweka vikwazo. Wanadai hii ni mbinu ya Mkuu wa Mkoa huyo kuwachelewesha watoto hao kuhudhuria shule....

Mh Simbakalia leo asubuh alikuwa TBC na kaelezea vizuri sana kuwa serikali imeruhusu wanafunzi wote wa kidato cha sita wafanye mtihani unaoanza j5.

Naona ushajibiwa the fundamental question.
 
hahaha. Kajikosha tu. Kwani kosa kukaa msikitini? Kwanini yeye amekuwa kikwazo?

na lile swali la yeye kujidai hapo mwanzo shule zote za makanisa zimetaifishwa majengo tu. mbona kajiakanyaga kulijibu?

Vipi mnataka na misikiti mjengewe mashuleni?
 
hivi nyie mnaozungumzia Ndanda mnajua inafananaje? Lile eneo hata mkisema kuwa eti serikali ilitaifisha shule na ardhi bado mnachemka kwa kuwa mazingira yote ya eneo lile yamekaa kimisionari na ule mji umejengwa na wajerumani.

Hata wakipewa eneo la msikiti haiwezi kuwa eneo la mission.
Shortly, the environment is neither conducive nor favorable to built a mosque. kwanza kiti motos kinafungwa eneo lile.

Je mtaweza kuswali na wakuu wanapiga kelele? kuna kiwanda cha pombe pale. mh sijui kama mnayajua mazingira yale. mi ni mkazi wa huko Ndanda.
 
Vipi mnataka na misikiti mjengewe mashuleni?

sio, tuanataka mkuu wa shule ambae ni Mkuu wa kanisa la jirani ya shule aache udini wake tu. mkuu wa mkoa kwa kuwa ni wanahusiano na mkuu wa shule na yeye aache udini wake tu. wakitumikia watz bila ushawishi wa makanisa hatutakuwa na malalamiko hasa ukizingatia shule hizo ni mali ya serekali na sio kanisa tena. sasa yeye akiamini anatumikia kanisa badala ya Gov hapo mzozo ndio unapoanza
 
hivi nyie mnaozungumzia Ndanda mnajua inafananaje? Lile eneo hata mkisema kuwa eti serikali ilitaifisha shule na ardhi bado mnachemka kwa kuwa mazingira yote ya eneo lile yamekaa kimisionari na ule mji umejengwa na wajerumani. hata wakipewa eneo la msikiti haiwezi kuwa eneo la mission.
Shortly, the environment is neither conducive nor favorable to built a mosque. kwanza kiti motos kinafungwa eneo lile.
Je mtaweza kuswali na wakuu wanapiga kelele? kuna kiwanda cha pombe pale. mh sijui kama mnayajua mazingira yale. mi ni mkazi wa huko Ndanda.
Sio tatizo. kukaa kimeshonary kunaweza kubadilika. hata DAR ya leo sio ya ile ya zamani. majengo yaliokuwepo hayapo tena. kwa hivyo mazingira yanaweza kubadilishwa kwa kuwa ni ya serekali na sio kanisa tena
 
hahaha. Kajikosha tu. Kwani kosa kukaa msikitini? Kwanini yeye amekuwa kikwazo?

na lile swali la yeye kujidai hapo mwanzo shule zote za makanisa zimetaifishwa majengo tu. mbona kajiakanyaga kulijibu?
Binadamu kughafilika ni jambo la kawaida hasa kwenye mazingira ya tension kama hayo,kwa upeo wangu mdogo wa ndanda palivyo nimewahi kufika mara moja,eneo lote limekaa kimissionari hata shughuli wanazofanya pale haziendani na uislam mfano mmoja kufuga nguruwe so sidhani mtakubali msikiti ujengwe karibu na eneo hilo la sivyo huko mbeleni mtataka na hivyo vitega uchumi vyao waviondoe kitu ambacho itakuwa vigumu.
 
Kilichofanya Waislam kuwa nyuma kielimu leo hii Tanzania, ni wakati wenzao Wakristo wanajitahidi kujenga shule kwa ajili ya watoto wao, wao wanakazania kujenga misikiti mpaka porini ambayo mingine haina hata muumini. Bado tu hawajifunzi. Kweli ni Raina!
 
Sio tatizo. kukaa kimeshonary kunaweza kubadilika. hata DAR ya leo sio ya ile ya zamani. majengo yaliokuwepo hayapo tena. kwa hivyo mazingira yanaweza kubadilishwa kwa kuwa ni ya serekali na sio kanisa tena

Najua unaongea kwa kuwa uko mbali. Funga safari uje Ndanda then urudi jamvini utoe maoni yako. Mazingira yale hayabadiliki hata Sheikh Mkuu Simba angekuwa ndo rais wa JMT. Ingewezekana kama wangeomba eneo nje ya mission hilo nadhani hamna utata. ndani ya Mission sioni likiwezekana. labda muandamane muivunje hiyo mission ndo mabadiliko unayoyasema yatawezekana
 
binadamu kughafilika ni jambo la kawaida hasa kwenye mazingira ya tension kama hayo,kwa upeo wangu mdogo wa ndanda palivyo nimewahi kufika mara moja,eneo lote limekaa kimissionari hata shughuli wanazofanya pale haziendani na uislam mfano mmoja kufuga nguruwe so sidhani mtakubali msikiti ujengwe karibu na eneo hilo la sivyo huko mbeleni mtataka na hivyo vitega uchumi vyao waviondoe kitu ambacho itakuwa vigumu.
dawa ya nguruwe na kuwahamisha na kutafutwa sehemu nyengine. Wakikataa ni kuwapa sumu
 
najua unaongea kwa kuwa uko mbali. Funga safari uje ndanda then urudi jamvini utoe maoni yako. Mazingira yale hayabadiliki hata sheikh mkuu simba angekuwa ndo rais wa jmt. Ingewezekana kama wangeomba eneo nje ya mission hilo nadhani hamna utata. Ndani ya mission sioni likiwezekana. Labda muandamane muivunje hiyo mission ndo mabadiliko unayoyasema yatawezekana
hahaha. Kaka unaubishi wa kimasai. Huna hoja. Hivi leo miaka 4 ijayo tutaenda kigamboni kwa pantoni? Si kwa daraja tu.
 
kilichofanya waislam kuwa nyuma kielimu leo hii tanzania, ni wakati wenzao wakristo wanajitahidi kujenga shule kwa ajili ya watoto wao, wao wanakazania kujenga misikiti mpaka porini ambayo mingine haina hata muumini. Bado tu hawajifunzi. Kweli ni raina!

unapotosha umma. Hivi kule zanzibar waislam hawakusoma? Hivi walimu wakuu, vyuo vikuu vinaongozwa na wakiristo? Husemi ukweli. Sema ukweli upate thawabu. Tatizo hapa kanisa kuamini ndio wenye tz. Full stop
 
Kwani wewe Sisi kwa sisi una masirahi gani na mgogoro wa Ndanda sekondari? Jana tarehe 5/2/2012, uliweka upupu kama huu hapa jamvini, leo Mkuu wa Mkoa ametoa ufafanuzi muafaka TBC1 bado unakuja na upupu mwingine hapa. Hujiulizi kwanini wanafunzi wengine wa shule kama Mtwara Tech hawadai vitu msikiti ilihali wao ni wengi zaidi kuliko waislam wa Ndanda sekondali?Kwa taalifa yako vijana wale ni wavivu wa kusoma na paper hata wkiruhusiwa kufanya watakula mzinga, we subiri uone. Sana sana muwatayarishie mazingira ya kurudi madrasa tu.
 
kwani wewe sisi kwa sisi una masirahi gani na mgogoro wa ndanda sekondari? Jana tarehe 5/2/2012, uliweka upupu kama huu hapa jamvini, leo mkuu wa mkoa ametoa ufafanuzi muafaka tbc1 bado unakuja na upupu mwingine hapa. Hujiulizi kwanini wanafunzi wengine wa shule kama mtwara tech hawadai vitu msikiti ilihali wao ni wengi zaidi kuliko waislam wa ndanda sekondali?kwa taalifa yako vijana wale ni wavivu wa kusoma na paper hata wkiruhusiwa kufanya watakula mzinga, we subiri uone. Sana sana muwatayarishie mazingira ya kurudi madrasa tu.

nataka waliofukuzwa warudishwe, mwalimu mkuu afukuzwe kazi. Mkuu wa mkoa ahamishwe ili kuendelea na amani na utulivu wetu nchini bila ya mvurugano wa kidini.
 
i wonder, is this for great thinkers. kweli jf imeingiliwa. sisi kwa sisi look for another place please, you don't deserve here.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom