Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
Dah! Umenipatia kweli. Umejuaje? Namhurumia mtoto huyu kwa kuwa atakapokuwa darasa la saba, Dr Slaa atakuwa na miaka zaidi ya 80.
Trust fund ndo mpango mzima siku hizi
Dah! Umenipatia kweli. Umejuaje? Namhurumia mtoto huyu kwa kuwa atakapokuwa darasa la saba, Dr Slaa atakuwa na miaka zaidi ya 80.
Sasa angekuwa na domo bubu angempata vipi Josephine?au wake za watu ndo wanatongozeka kirahisi?inaelekea una uzoefu na mkeo kutongozwa na kukubali kirahisi.crapYalaaaaaaaaaaaaaa makubwa tena hayo. Kumbe kweli huyu kwa hali hii ni mke halali wa Mahimbo, kinyume na CDM walivyosema ! Dr. Slaa wanawake wako wengi kwa nn uibe mke wa mtu ? Hii yaonyesha domo lako ni bubu
Wewe yanakuhusu nini haya?
Kama TALAKA haijatolewa, Dr Slaa alikuwa anafanya nini na huyu dada?Mbona umeshtuka sana?
Kama TALAKA haijatolewa, Dr Slaa alikuwa anafanya nini na huyu dada?
mbona bidii ya ku shut down hii kitu inakua kubwa? kuna nini kinafichwa hapa?
bi josephine mushumbushi ambaye ni mke halali wa bwana aminieli mahimbo amemfikisha kortini ktk mahakama ya mwanzo manzese mumewe bwana mahimbo akidai apewe talaka, kesi yao ambayo imepangwa kusikilizwa tarehe 8 mwezi wa 2 mwaka huu. Mwanamke huyo kwa sasa anaishi na dr slaa na tayari wameshazaa mtoto mmoja mwenye umri wa miezi takribani 5. Ikumbukwe bwana mahimbo alimshitaki mahakama kuu dr, slaa kwa kumtangaza hadharani mke wake huyo bi josephine kuwa ni mchumba wake na kesi hiyo inaendelea kusikilizwa.
Duh! Sheria ni hasa. Umri wa Dr Slaa na mwanae huyo wa miezi mitano!
wewe unapata faida gani na hii kitu? Mbona talaka za mama zenu hamzileti hapa jukwaani?
Kwani mumewe Josephine alipoenda mahakamani mlifikiri kenda tu bila hata chembe ya sababu?
Dr Slaa atatueleza vizuri tuelewe. Yeye pia ana sacramenti ya UPADRE ambayo ina hadhi sawa na ndoa. Ameshaivunja rasmi na Pope ameridhia? Mzee wetu huyu nae kwa ujasiri!
Anaestahili kumuita mtu "Baba fulani" ni mkewe tu. Ndie mwenye uhakika na hilo. Sisi wengine tuendelee kumuita kwa jina lake tu.Huyu mtoto(mjukuu)wa miezi mitano wa jamaa anaitwa nani?inafaa tumjue ili tuwe tunamuita baba fulani kumlindia heshima maana haifai kumwita jina mtu mzima kama yeye tunafanya hivyo kutokana na yeye mwenyewe kuficha sana maisha yake ya ndoa na familia yake,hata watoto wake hawajulikani kama wapo zaidi ya huyu wa miezi mitano!
Kwahiyo mwalimu unataka kututhibitishia kwamba mke wa mtu anaweza kuibiwa, kama wanavyodai baadhi ya watu.
Kwa mfano wewe unaweza kuibiwa na mwanaume mwingine toka kwa mumeo? (samahani lakini kwa kukutumia wewe kama mfano)
Ikiwa Wema Sepetu anajadiliwa kuachana na mchuchu tu wake, itakuwa mtu anaepika na kupakua jahara na Dr.Slaa!
Kujadiliwa wajibu
Kama TALAKA haijatolewa, Dr Slaa alikuwa anafanya nini na huyu dada?
Nafahamu. Na mamaa Kamili kapoozwa kwa kiti maalum ili alee watoto.Ana watoto aliozaa hapo awali....unalijua hilo pia?
Samahani mkuu, hili swali halistahili kuulizwa na mwanaume (mara zote nimekuwa nikiamini kwamba wewe ni he!!), kama nilikuwa wrong unisamehe bure.
Labda niliulize hivi: Sheria inasemaje kuhusu hali kama hii?Samahani mkuu, hili swali halistahili kuulizwa na mwanaume (mara zote nimekuwa nikiamini kwamba wewe ni he!!), kama nilikuwa wrong unisamehe bure.
anza kuweka ya mama yako kwanza, ueleze kabla hajakutana na baba yako alikuwa na mabwana wangapi then tujadili ha hao wengine