ukweli ni kwamba siku zote,damu ya mtu haipotei tazama morogoro polisi waliua wakasema cdm,sasa kwa akili ya kawaida hebu tizama askari aliyeelekeza mtutu tumboni kwa mwandishi.swali je ni mwananchi aliyerusha bomu kama kamanda anavyosema wote pale wangekufa mimi sijui tafakari
elimu ni kitu kizuri sana mheshimiwa lukuvi ni jamaa anayevuluga sana mkoa wa iringa,huyu jamaa ndiye alisababisha kandoro ashindwe kula za maoni kusudi aje apate uwaziri yeye tunajua sana.kwanza ni mb ambaye jimbo lake linaongoza kwa njaa,pia ni jamaa anayehonga sana wakati uchaguzi.pia ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.