William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- According to the dataz, jana ni Waziri Maghembe pekee aliyewagomea Wabunge wa Kokus ya CCM huko ndani kwamba hataandika barua ya kuachia ngazi kama wenziwe, akaambiwa basi asubiri tu kufukuzwa kazi!
- More Dataz ni Mkulu amesharudi Dar leo na Emirates, na tayari ameshashuka Dodoma na Jumatatu mambo yatakuwa hadharani! STAY TUNED!
WAZEE WA SAUTI YA UMEME!; ES!
- More Dataz ni Mkulu amesharudi Dar leo na Emirates, na tayari ameshashuka Dodoma na Jumatatu mambo yatakuwa hadharani! STAY TUNED!
WAZEE WA SAUTI YA UMEME!; ES!