Jamani Ndugu zangu tujitahidi kufanya siasa zenye kuheshimu mamlaka Na sheria zilizowekwa, tuwe Na upendo katika matamshi yetu tunapofanya mikutano yetu jambo, sio lazima kutoa luga za kuuzi Au kejeli ndio usikike hata biblia imesema tuheshimu mamlaka ya duniani Na mbinguni niwaombe basi Ndugu...
Kwa Kweli napenda kuchukua fursa hii kuipongeza kampuni ya Airtel Kwa vifurushi murua Na Kwa Kweli wako fair sana big up sana air tel , si hekima wala ubinadamu kusema vibaya kampuni za watu Ila kampuni fulani ukiweka kifurushi cha shilingi 10 elfu Kwa Simu mbili unaweza kuambia imeisha hata...
Pole sana Ila sali kila mtu ana Mtu wake amini hivyo ushauri wenye Tija Na aina ya marafiki uko nao watakujenga Au versa uje inbox wpfnetwork@gmail.com
Sent from my iPhone using JamiiForums
Usimkatishe plz kama kifaranga ni 1200 atapata vifaranga 125 atakapokuwa Na majogoo 10 Na mitetea 115 baada ya Miezi 4 atakuwa Na kuku wangapi?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tutamkumbuka daima Rais wetu huyu ngojeni kidogo tu tumalize miradi yetu yote Na umeme ushuke bei Na tuanze kuuza umeme nje nchi , uzalishaji viwandani utapanda sanaaaa Mungu I bariki Tanzania endeleeni kubeza lakini maendeleo hayabagui wala hayana chamaaa hilo muelewe jamani
Sent from my...
Huku africa tumshukuru Mungu saana tuna kila Kitu Na Hao usa Na wenzao hawezi chochote bila sisi africa wamefika walipofika kupitia sisi africa ni tajiri ukiifahamu historian wala hutawasifia wala kuwapongeza mabeberu tujitahidi kuchapa Kazi .
Sent from my iPhone using JamiiForums
Jamani Ndugu zangu watanzania Naomba tuwe wakweli Mungu anatuona Mh rais amefanya Mengi mazuri Kwa nini hatuoni jamani ukiangalia miradi mikubwa ya maendeleo amedhubutu Na amefanya Kwa hela Zetu wenyeweeee angalieni majirani Zetu jamani nchi Zao wanadaiwa pesa za ajabu Na wachina lakini sisi ni...
Jamani naombeni sana Mh rais mumuache mambo mazuri mengi mno ametufanyia jamani mtamkumbuka sana Huyu rais mimi binafsi namkubali sana Pamoja Na maneno yenu Mabaya lakini magufuli anawawekea lami nyakanazi Mpaka Kigoma mkoloni mwenyewe aliishindwa hiyo barabara. Tunduma Mpaka sumbawanga pasuliwa...
Kwa Kweli tanesco tangu waanzishe huduma ya Luku Kweli sina lalamiko Na wao hili la kukatika lipo Ila nikilinganisha kile kipindi cha majenereta Kwa Kweli Kwa sasa hivi naona Niko paradise
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mi ni
Mteja wao mkubwa sana Kwa
Miaka mingi sana ndani Miaka hii Mitatu ya mwisho vocha ya dakika 40 inaisha dakika 20 muliangalie hilo Kwa ni Njema tu Kwa Kweli tusaidiane sote tusonge mbele Ndugu zangu unapopiga Simu una tatizo unasubiria muda Mrefu wakikutangazia huduma Zao
Sent from my...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.