jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Hii ni 'Chant' kutoka kwa katibu mwenezi wa CCM ndugu Hamphrey PolePole akitest mitambo tu kwa kuwaimbisha wanaCCM huko Masaki.
Ama kwa hakika Magufuli amerejesha heshima ya CCM kwa utendaji wake.
"Wataweza kweli? ..aa wapi!
Kushindana nasi?...aa wapi!
Hata wakiungana?...aa wapi!
Matusi kututukana?...aa wapi!
Ngosha Babalao!!
Ni mimi Jingalao!! Pamoja na Babalao!!
Ama kwa hakika Magufuli amerejesha heshima ya CCM kwa utendaji wake.
"Wataweza kweli? ..aa wapi!
Kushindana nasi?...aa wapi!
Hata wakiungana?...aa wapi!
Matusi kututukana?...aa wapi!
Ngosha Babalao!!
Ni mimi Jingalao!! Pamoja na Babalao!!