Napenda kutoa faida za zao la pilipili kichaa. Biashara hii imeshika kasi katika miaka hii ya hivi karibuni. Biashara hii ina pesa nyingi na wanunusi hawakopi bidhaa kwa wakulima.mauzo yake ni papo kwa papo baadhi ya Mikoa wanaita Dhahabu nyekundu. Tunatoa Elimu Bure na tuna masoko yenye huakika...
Hayo ni mawazo yako wanavyo sema viongozi wa Dini eti kwamba mungu akosei na hashindwi kitu kwa maelezo yako hapa ni kwamba mungu anakosea na anashindwa mana nasema mpango wake sio sisi kufa. Na pia kashindwa na shetani ndo mana kamuharibia mipango yake kwetu
Na wanawake watapewa nini? Ila hii Dunia kiukweli wanaume ambao ndo watunga sheria wamejipendelea sana mana ata mungu wanasema mungu baba inamaana yuko na huume kama sisi kwa nini? Hawajasema mungu mama? Hii Dunia kila mtu anamawazo yake katika tafasili ya mungu. Mungu anae zungumziwa na kila...
Sasa hapo mbona sioni furaha ya mbinguni kwa sisi wanadamu maana anae imbiwa ndo ana furaha zaidi kuliko anae Kesha kwa kuimba vile vile ni kero kwa anae imbiwa mana makelele yatakua mengi sana kulingana na watakao kwenda huko
Umetulia na kutueleza mambo kwa ufasaha zaidi. Ila siku zote Dunia akuna Adui anae Muombe Adui yake Mema kuna Huadui Kati yao juu ya hayati yetu na Hao wanao Muombe Mabaya. Ila Yayote tulipiganie taifa letu ili mmomo nyoko tunao uona Kwa sasa usitokee. Naipenda Tanzania yetu Naipenda Amani ya...
Maisha ni Muda ukiwa kama kijana mwenye Miaka zaidi ya 40 ujafanya jambo la maendeleo lolote lile ya kufaa ufanye sasa kwa maana umesha tumia nusu ya Muda wako bila kufanya kitu. Fanya Sasa kamilisha Ndoto zako muda ulio ishi ni mrefu kuliko muda ulio bakia Tafakari na uwanze sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.