Kanisa katoriki ni taasisi iliyo makini sana ktk kuionya serikal dhidi ya mambo ya ajabu yanayofanywa hasa hili la katiba litawagawa ccm na baadaye kujutia maamuz yao ya kibabe now dayz wa2 wanachanganua mambo na dunia imekuwa ndogo mno.
Kwa cc wazee wa bajet serikali 1 ndo itatupunguzia gharama na kwa kuwa CCM leo hii wamegundua ni gharama tunawaomba hivyo bac wapunguze gharama ktk uendeshaji wa miimili yote wabunge wapunguziwe gharama ya mishahara mpaka kufikia laki 300000 km ilivyo kwa walimu na magari ya kifahar wanayotumia...
Ukwel ulipotoshwa tangu asil ya mwanadamu mf ni wakuu wa serikali ya kilumi wakati ule yesu anafufuka waliwapa walinzi rushwa ili wapotoshe ukweli kwa kusema yesu hajafufuka bali wanafunzi wake walimuiba wakati wao wamelala. Tangu lini mlinzi analala
we bro. Nimekuelewa au na ww ni mwalimu wa chuo kikuu maana wasomi ninyi ndo mnaelewa nchi vizur na watu wanaotokea mjini maana mjini ni shule waliobaki ccm sa ivi kuna vi2 wamesahau wakivichukuwa tu ccm imekwisha.
If you have a good voice be a musician. If you know how to act be actor/actress. If you have philosophical ideas be a good politician so that you can sarve people's problems If you have seen youself that you had some elements of Holy Spirit humble to GOD be a servant of him. Add more:
Da ! chadema ni sauti ya MUNGU. Na ccm ni jaribu na cdm ni mlango wa kutokea jaribu hilo hata ccm wanajua hilo. na watz wamechoka na madhambi ya ccm. Wanataka wananchi wafanye nn ili wajue hawaitaki hiyo ccm na hizi ni dalili za awal tu km nilivyoona kwenye picha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.