Recent content by Kinkarawe

  1. K

    Waraka wa tamko la Baraza la Kikristo umesomwa leo Makanisani, CCM chali

    Kanisa katoriki ni taasisi iliyo makini sana ktk kuionya serikal dhidi ya mambo ya ajabu yanayofanywa hasa hili la katiba litawagawa ccm na baadaye kujutia maamuz yao ya kibabe now dayz wa2 wanachanganua mambo na dunia imekuwa ndogo mno.
  2. K

    Mbeya City Football Club - Special Thread!

    Mbeya city a diamond football club born in tanzania.
  3. K

    Mh. David Silinde....

    Ni jembe aina ya fwoshoro.
  4. K

    Uongo, Unafiki na Uzandiki wa CCM!

    Kwa cc wazee wa bajet serikali 1 ndo itatupunguzia gharama na kwa kuwa CCM leo hii wamegundua ni gharama tunawaomba hivyo bac wapunguze gharama ktk uendeshaji wa miimili yote wabunge wapunguziwe gharama ya mishahara mpaka kufikia laki 300000 km ilivyo kwa walimu na magari ya kifahar wanayotumia...
  5. K

    Maoni ya wajumbe 'walio wachache' katika Kamati namba Nne iliyowasilishwa na Mhe. Tundu Lissu!

    Ukwel ulipotoshwa tangu asil ya mwanadamu mf ni wakuu wa serikali ya kilumi wakati ule yesu anafufuka waliwapa walinzi rushwa ili wapotoshe ukweli kwa kusema yesu hajafufuka bali wanafunzi wake walimuiba wakati wao wamelala. Tangu lini mlinzi analala
  6. K

    David Kafulila,na Serikali Tatu

    Kafulila ni mwalimu anayeweza kufundisha hata mambumbumbu.
  7. K

    Je, ni Maadhimisho ya Mwisho kwa CCM?

    we bro. Nimekuelewa au na ww ni mwalimu wa chuo kikuu maana wasomi ninyi ndo mnaelewa nchi vizur na watu wanaotokea mjini maana mjini ni shule waliobaki ccm sa ivi kuna vi2 wamesahau wakivichukuwa tu ccm imekwisha.
  8. K

    You have to make your existence value.

    If you have a good voice be a musician. If you know how to act be actor/actress. If you have philosophical ideas be a good politician so that you can sarve people's problems If you have seen youself that you had some elements of Holy Spirit humble to GOD be a servant of him. Add more:
  9. K

    M4C-OPD: Picha toka Bunda kwa Stephen Wassira

    We watanzania wanajielewa ole wenu mnaobaki kwenye lichama lililokosa mvuto.
  10. K

    Dkt. Slaa: Mabomba ya gesi toka Mtwara yanaelekea Ulaya!

    hakuna ki2 cha kumzungumzia dr. Zaidi ya kumsemea khs ndoa yake hapo utajua km mwisho wa kufikir kwako.
  11. K

    M4C-OPD: Njombe-Iringa, Singida-Dodoma, Kagera-Geita - Januari 27, 2014

    Da ! chadema ni sauti ya MUNGU. Na ccm ni jaribu na cdm ni mlango wa kutokea jaribu hilo hata ccm wanajua hilo. na watz wamechoka na madhambi ya ccm. Wanataka wananchi wafanye nn ili wajue hawaitaki hiyo ccm na hizi ni dalili za awal tu km nilivyoona kwenye picha.
  12. K

    Kwanini Nyerere hakutaifisha seminari za Katoliki?

    bro.respect watu wengine wanaropoka bila kuchanganua ukweli kauli ya kuzungumzia udin hasa kwa jk Nyerere amepinga sana kk.
Back
Top Bottom