Habari wakuu,
Naomba msaada wa mgonjwa alienda kupima ecg akaambiwa ana short pr interval naomba kujua matibabu yake na kama inatibika na kua katika hali ya kawaida.
Shukrani
Unaangalia vitu vingi sio kwa dunia ya sasa wale walistaarabika kitambo na teknolojia yao ilikua juu hivyo wakatawala kirahisi tena kwa nyenzo mbalimbali kama elimu,dini na ideolijia zao zikawafanya wawe na nguvu
Unakosea unavolinganisha hivyo angalia uhalisia kuna vitu vingi vilikua nyuma ya israel google na tafuta historia hata hao waasi huko DRC kuna mataifa yako nyuma yao mi nalikataa hasa kwa nchi za afrika udogo wake ndo umaskini na nguvu ndogo yake
Jana tu nimetoka kugombana na airtel salio la gb ni 4.88 lakini sipati huduma ya internet tangu saa 10 jioni hadi saa 2 usiku ikabidi niongee na wahudumu wa 2 wadada wa customer wakanambia nina 0 mb daah ndo mana sipati huduma ya internet sikuridhika nikapiga tena nikaongea mhudumu wa 3 kwa...
Ndege mnana huyu alikua anakaa nyuma ya nyumba kutokana ushirikiana wake kwa sasa hana ishu mjini yupo yupo familia yote imemkimbia ana ungaunga tu kwa watu uchawi noma sana!
Dick anadharau sana kama sio celebritt kwa kweli customer service mbaya sana niliwai kupeleka gari yangu kwake nikatoka najiskia vibaya kwa huduma mbovu
Sasa kama haki ya binadamu na ushoga si wazungu wanadai ni haki ya binadamu acha kujitekenya na kucheka mwenyewe unless uwe umetumwa sio bure yani huoni tatizo kabisa hapo au na wewe ni mmojawapo?kama hali ya uchumi kua mbaya nchi ngapi maskini zipo chini yetu kuliko kuendekeza bora wasije tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.