Routes za daladala zilizoleta mapinduzi DSM

Routes za daladala zilizoleta mapinduzi DSM

Mbezi to Sinza jamani kuna ulazima gani wa kupanda gari mbili? Kwann gari zisiunge tu nowadays barabara ya mawasiliano kutokea Sinza Madukani ni lami ya kiwango tu kwanini kusiwepo na route ya Mbezi to sinza via Mawasiliano road!??
Hata hii route pia si rahisi kutokea kwasababu
Sinza ni transit station, yaan kuifikia Sinza unaweza ukawa ndani ya daladala nyingi though sio zote zinapitia Sinza yote

Uwepo wa route ya Mbezi-Makumbusho ( kupitia Simu2000) na Simu2000-Masaki umepelekea ugumu wa kua na route hiyo kwenda Sinza
Ukiwa unasema transit station ni zile sehem ambazo hazina vituo vikuu vya daladala, yaan vituo vyake viko within a route za daladala zingine mfano
Kimara, Mwenge, Sinza, Ubungo, Buguruni, Magomeni, Mwananyamala, Ukonga, Msasani
Ukiangalia hapo juu kulikua na routes za daladala kwenye baadhi ya maeneno tajwa hapo juu lakini kwa sasa hazipo, kwanini.. kwasababu hiyo ya transit station
Soon route ya Mtongani itakufa
 
Kwenye hili la route ya Buguruni to Mbezi kuna kitu kimoja unapaswa uelewe, kuna sehem hapa Dar ni transit stations yaan hizo sehem zipo within a route ikiwemo Buguruni

Chanzo cha kuondolewa route ya Mbezi- Buguruni ni uwepo wa routes za Temeke-Mbezi so far hizi daladala ziko nyingi kwahiyo sasa abiria wote wa Buguruni wanamezwa na hizi daladala

Route nyingine iliyoondolewa ni ile ya Muhimbili-Buguruni, chanzo pia cha kuondolewa route hii ni uwepo wa routes za daladala mbalimbali kwenda Muhimbili kupitia Buguruni kutokea Tabata Chang'ombe, Segerea, Kg/Sokoni, K/Viwandani, Kinyerezi and the likes

Mlifikiria route ya Mbezi -Temeke inabeba abiria wa maeneo mengi kiasi gani?
Umewahi kuziona asubuhi zile gari zinavyoshona?
Huo wingi wake uko wapi?

Mlifikiria juu ya soko la Buguruni?

Hauon kama ni usumbufu mtu kuanza kuvuka na mzigo kwenye Daraja kufuata Daladala?

Anyways mawazo yangu siyo yenu ila ile route ni muhimu pamoja na ya Muhimbili -Buguruni
 
Ruti ya MABIBO kwenda ukanda wa MASAKI na KAWE nashangaa bado mpaka leo sijui wanakwama wapi.
Yaani mfano kutoka tu hapa MOROCCO ya airtel to MABIBO inakulazimu upande gari 2.
 
Gerezani to kiponza via kilwa road.

Gerezani to mbande kisewe kilwa road.

Muhimbili to kisewe/magenge via kilwa road.

Stesheni to mmbande kisewe/magengeni.

Gerezani to mmbande magengeni via chan'gombe road

Gerezani to mmbande lufu via kilwa road


mbagala tunajichagulia tu sikuhizi hakuna shida Kama ya zamani
Screenshot_20190822-200548~2.jpeg
 
Kuna rout ilikuwepo mwaka jana ghafla ikafutika ila ilikuwa msaada sana kwa abiria nayo ni Mabibo -Kawe via shekilango
 
Ruti ya MABIBO kwenda ukanda wa MASAKI na KAWE nashangaa bado mpaka leo sijui wanakwama wapi.
Yaani mfano kutoka tu hapa MOROCCO ya airtel to MABIBO inakulazimu upande gari 2.
Uhitaji pia na movement za watu baina ya pande hizo mbili, kuna sehem route zake ni za kufikirika... si rahisi hata kutokea ila ingawa kama zikiwepo zinaweza ku function. Tatizo ndo hilo la uhitaji na uwingi wa watu

Hii ya Mabibo-Makumbusho tuu ina msaada mkubwa kwahiyo inatosha kabisa kwa movement za Morogoro Road na Kawawa Road hadi Mwananyamala....
Kingine pia uwepo wa Mwendokasi ni chanzo pia cha hiyo route kua ya kufikirika
 
The best shortest route kwa sasa ni
Makumbusho (Mwenge) - Machinga Complex/Mnazi Mmoja kupitia Mabibo/Kigogo
 
Sinza kituo cha mabasi kinawezwa kuwekwa wapi ili daladala zianzie hapo na kuishia hapo ?
Mbezi to Sinza jamani kuna ulazima gani wa kupanda gari mbili? Kwann gari zisiunge tu nowadays barabara ya mawasiliano kutokea Sinza Madukani ni lami ya kiwango tu kwanini kusiwepo na route ya Mbezi to sinza via Mawasiliano road!??
 
WANGEANZISHA ROUT YA KIGAMBONI-GOBA
KUPITIA
NYERERE BRIDGE-MANDELA ROAD-TAZARA-NYERERE ROAD-INAINGIA MAJUMBA SITA-KINYEREZI-MBEZI MWISHO-GOBA
 
The best shortest route kwa sasa ni
Makumbusho (Mwenge) - Machinga Complex/Mnazi Mmoja kupitia Mabibo/Kigogo
Wanazingua eti M/MBUSHO - MWENGE wakati pale kuna gari kibao za tegeta, na kutoka gerezani
 
Tandika to Gongo la mboto via Buza

Gerezani to Makumbusho via Kigogo
 
Back
Top Bottom