Wahindi wanawaweza hawa kwa njia hii huwapa kazi bila kuchekanao au kumbembeleza usijaribu kula nae meza moja ukiwa na family yako au upo pekee yako ukila nae anajiona mtoto wa nyumbani sio mfanyakazi akivunja glass mkate pesa zake hapo sasa atakaa na wewe vizuri.lakini sisi tunajifanya wema sana kwao ndio maana hata baba nyumbani yeye haoni tabu kumpa penziHG wengi wanaletwa kukagua mazingira.
Mimi unakuja kwa nauli yangu ila ukiondoka ndani ya miezi mitatu nakata nauli yangu iliyokuleta. Itakayokupeleka ni yako mwenyewe....
Nasamehe wanao kaa miezi 6 na kuendelea, kitu ambacho hakijawahi tokea.
Hawa watoto hata uwafanyie nini hawanaga shukrani sijui wahindi wanawafanyaje