Hipo hivi, nilikwenda kwa yule, mtumishi wa mungu anaejihita, kiboko ya wachawi. Ebwana niliyoyashudia, jamani watu wanajua kutafuta pesa, mimi nasema nitabaki kwa dini yangu, hii ya Romani Katoliki.
Mpaka mwisho wa maisha yangu akuna mwamosa, sijui, musa, wala nani. Sasa nimefika pale,na sikua...