Nisalama moyoni
New Member
- Dec 28, 2023
- 1
- 25
Hello! Nahitaj kupata mwanaume ambaye yuko tayar kuanza maisha ya ndoa, sifa zangu
1. Nina miaka 31
2. Mnene kiasi
3. Nina elimu ya degree niko idara ya elimu
4. Sina mtoto
5. Mweusi sio mrefu sana
6. Mkristu(catholic)
7. Ninaishi Dar, na ninafanya kaz Dar
Sifa za mwanaume ninayemwitaji
1. Awe mweusi
2. Awe mkristu mwenye miaka 34-40
3. Kama ni mtoto awe naye 1 itakuwa poa
4. Awe anafanya kazi, maana maisha ni kusaidiana, pia awe anaishi DAR
sichagui kabila, plz naomba mtu ambaye yuko tayari.
Asanteni
1. Nina miaka 31
2. Mnene kiasi
3. Nina elimu ya degree niko idara ya elimu
4. Sina mtoto
5. Mweusi sio mrefu sana
6. Mkristu(catholic)
7. Ninaishi Dar, na ninafanya kaz Dar
Sifa za mwanaume ninayemwitaji
1. Awe mweusi
2. Awe mkristu mwenye miaka 34-40
3. Kama ni mtoto awe naye 1 itakuwa poa
4. Awe anafanya kazi, maana maisha ni kusaidiana, pia awe anaishi DAR
sichagui kabila, plz naomba mtu ambaye yuko tayari.
Asanteni