Mbezi mtaa GaniWakuu, nimepokea taarifa za msiba wa mdogo wangu nimeambiwa mwili wake umeokotwa Mbezi na una majeraha sehemu za kichwa, ila kwa sasa mwili upo hospital. Mpaka sasa hatujajua sababu ya kifo chake.
Polisi wao ni kina nani?Poleni sn. Police watajua chanzo
Isijekuwa ni walewale walioua VingungutiWakuu, nimepokea taarifa za msiba wa mdogo wangu nimeambiwa mwili wake umeokotwa Mbezi na una majeraha sehemu za kichwa, ila kwa sasa mwili upo hospital. Mpaka sasa hatujajua sababu ya kifo chake.
Daah Polee sanaWakuu, nimepokea taarifa za msiba wa mdogo wangu nimeambiwa mwili wake umeokotwa Mbezi na una majeraha sehemu za kichwa, ila kwa sasa mwili upo hospital. Mpaka sasa hatujajua sababu ya kifo chake.
Mwili uliookotwa na majeraha una tafsiri MOJA tuu kapigwa.. Swali muhimu... Na nani?Wakuu, nimepokea taarifa za msiba wa mdogo wangu nimeambiwa mwili wake umeokotwa Mbezi na una majeraha sehemu za kichwa, ila kwa sasa mwili upo hospital. Mpaka sasa hatujajua sababu ya kifo chake.
Tuanzie Hapo...Mwili uliookotwa na majeraha una tafsiri MOJA tuu kapigwa.. Swali muhimu... Na nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupigwa sio ishu, kama mwizi atapigwa tuuMwili uliookotwa na majeraha una tafsiri MOJA tuu kapigwa.. Swali muhimu... Na nani?
Sent using Jamii Forums mobile app