Wakuu naombeni wale wanaofahamu majina ya kampuni za meli zinazotoa huduma kati ya tanzania bara na zanzibar mnitajie makampuni mengi kadri muwezavo wakuu.naomba kama unafahamu ata niandikie itasaidia zaid.
--suala la posho bunge lilikataa kubadilisha kanuni na wameendelea kulipwa kwa lazima
--Gari la mbowe lilirudishwa na ofisi ya bunge
--Mke wa slaa halipwi posho na slaa analipwa posho anapoenda kwa masuala ya kichama tu sio masuala binafsi
--Shibuda tunajua mapungufu ya ubongo wake anzia akiwa...
mashabiki wote wa ccm hawana akili timamu kama wametolewa kafara vile,kuanzia wewe uliepost hii clip,akina masanja,na wale wanaovaa kanga na tshirt za kijani na kucheza mbele ya mwigulu wote mnafanana tofauti yenu ni jinsia na maumbo tu ila kiakili mpo sawa wote hamjitambui mmewekwa kwenye chupa
Mamvi nooooooooooooma,ila hii sekretarieti ya nape na baba mwanasha watakata jina la SIOI ,hapa cha msingi ni kufanya maandalizi ya kumwapisha kamanda JOSHUA kwani hawa magamba hawajijui
Ndiyo mambo ambayo sumaye alikuwa anasema kuwa wabunge wakiongezewa posho kila kundi litaanza kudai na watampa wakati mgumu rais lakini watu wenye akili fupi kama ndugai wanatoa majibu mepesi kwa maswali mazito
jaji mkuu,mwema na manumba watua arusha
ndugu zaungu wapiganaji hapa niko hoteli ya impala ambapo hao watu watatu niliowataja hapo juu naona wameingia mda si mrefu kuna ulinzi mkali sana,so habari za kuaminika kesho lema anatoka na kuelekea dodoma moja kwa moja bila hata kuongea na mke wake,kama...
masaburi yako na hivyo vichwa vyako vya habari ambavyo umevifikiria kwa masaburi
subiri kitu inauma jumapili
utajuuuta kuchuana na chadema
mbona nyie watu wa kijani muu wajinga wajinga hivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.