Recent content by kingungwe

  1. K

    Nampenda lakini still anacheat na ex wake

    Fukuza mapema sana huyo ana asteris.timua fasta
  2. K

    Kigwangalla ampiga vijembe Bashe baada ya kumshinda uchaguzi wilayani Nzega

    Yes Bashe ameshinda nafasi ya mjumbe wa mkutano mkuu taifa
  3. K

    Majina ya boti zinazotoka Tanzania kwenda Zanzibar

    Wakuu naombeni wale wanaofahamu majina ya kampuni za meli zinazotoa huduma kati ya tanzania bara na zanzibar mnitajie makampuni mengi kadri muwezavo wakuu.naomba kama unafahamu ata niandikie itasaidia zaid.
  4. K

    Huu ni baadhi tu ya ufisadi mkubwa ndani ya CHADEMA; ni kuhusu mamilioni ya Sabodo

    --suala la posho bunge lilikataa kubadilisha kanuni na wameendelea kulipwa kwa lazima --Gari la mbowe lilirudishwa na ofisi ya bunge --Mke wa slaa halipwi posho na slaa analipwa posho anapoenda kwa masuala ya kichama tu sio masuala binafsi --Shibuda tunajua mapungufu ya ubongo wake anzia akiwa...
  5. K

    Bwana Mukama. "mtu mzima akichoka akili, hubwatuka"

    mashabiki wote wa ccm hawana akili timamu kama wametolewa kafara vile,kuanzia wewe uliepost hii clip,akina masanja,na wale wanaovaa kanga na tshirt za kijani na kucheza mbele ya mwigulu wote mnafanana tofauti yenu ni jinsia na maumbo tu ila kiakili mpo sawa wote hamjitambui mmewekwa kwenye chupa
  6. K

    Uchaguzi wa CCM Arumeru Mashariki: Siyoi ashinda na kupitishwa kukiwakilisha chama

    Mamvi nooooooooooooma,ila hii sekretarieti ya nape na baba mwanasha watakata jina la SIOI ,hapa cha msingi ni kufanya maandalizi ya kumwapisha kamanda JOSHUA kwani hawa magamba hawajijui
  7. K

    Dr Kitila Mkumbo for CHADEMA Presidency!

    ,mi nahisi wewe unafaa zaidi ya dk mkumbo
  8. K

    Mama Lwakatare Vs Anne Makinda

    wote ni vichaa,alieandika post ni kichaa na nyie mnaobishana na kichaa ni vichaa pia:embarassed2:
  9. K

    Madaktari Walio Katika Mafunzo MNH Wapewa Barua ya Kufukuzwa Kazi

    Ndiyo mambo ambayo sumaye alikuwa anasema kuwa wabunge wakiongezewa posho kila kundi litaanza kudai na watampa wakati mgumu rais lakini watu wenye akili fupi kama ndugai wanatoa majibu mepesi kwa maswali mazito
  10. K

    CCM imezidi kupoteza umaarufu Arusha, ukifanyika uchaguzi sasa kitaambulia asilima 5 tu

    jaji mkuu,mwema na manumba watua arusha ndugu zaungu wapiganaji hapa niko hoteli ya impala ambapo hao watu watatu niliowataja hapo juu naona wameingia mda si mrefu kuna ulinzi mkali sana,so habari za kuaminika kesho lema anatoka na kuelekea dodoma moja kwa moja bila hata kuongea na mke wake,kama...
  11. K

    Vichwa vya habari vya Magazeti hapo tarehe 3 oktoba 2011

    masaburi yako na hivyo vichwa vyako vya habari ambavyo umevifikiria kwa masaburi subiri kitu inauma jumapili utajuuuta kuchuana na chadema mbona nyie watu wa kijani muu wajinga wajinga hivyo
Back
Top Bottom