faloyce2001
Member
- Feb 18, 2010
- 24
- 11
Wadau nimeshindwa kuamua. Kati ya hawa wamama wawili ni nani mwenye mvuto kwenye jamii? Namaanisha ni nane ambaye anaweza akasimama mbele yako akakushawishi kuwa yeye ana mchango katika maendeleo ya nchi hii? Nimekuja na jambo hili hasa baada ya kuwaza sababu hasa ya watu hawa kustahili kuongezewa posho. Wadau nipeni taarifa.