zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,831
- 8,622
vipi kuhusu cuf haita andikwa?
cuf=ccm-b
vipi kuhusu cuf haita andikwa?
Watu wa CCM mnajivunia Tume ya Taifa ya Uchaguzi kama Watanzania wanavyojivunia Mlima Kilimanjaro. Mimi sibishi hayo kweli yaweza kuandikwa ila sitegemei uchaguzi huru mpaka nchi itakapopata Katiba mpya. Hivi unajua kwamba Katiba ingekuwa haizuii watu kuhoji wizi wa kura za Rais sasa hivi tusingekuwa na Baba Ridhiwani kama rais wa nchi maana ushahidi upo unaoonyesha uongo wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Ccm yaigaragaza cdm na cuf. Mgombea wa chadema azimia baada ya matokeo kutangazwa. chadema yakataa matokeo. kidume chama cha mapinduzi chafanya kweli igunga.
Huo ushahidi wenu wa kuibiwa kura si ndio mlio upeleka kwenye mabalozi wa nchi za nje na UN , ila jamaa wakawapuuzia na kuwafukuza kwani waangalizi wao waliwaambia nyie ni wanafiki hamna lolote
Ni ndoto kwa cdm kushinda Igunga ! mliyo wafanyia wana igunga wamesema basi .
Tukumbushane; hivi yule mbunge aliyeahidi kunywa sumu ni nani vile? Mbona ameacha kusisitiza ahadi yake?
ongezea na vifuatavyoBaada ya tarehe 2 oktoba 2011 wananchi wa Igunga kupiga kura za kumchagua Mbunge wao. Kuanzia tarehe 3 oktoba 2011, vichwa mbali mbali vya habari vya magazeti vitakuwa hivi :
- CHADEMA yapigishwa kwata Igunga
- Mgombea Ubunge CHADEMA akataa kusaini matokeo
- Wananchi wa Igunga wamchagua Kafumu
- Dkt. Slaa apata ugonjwa wa moyo kwa matokeo ya Igunga
- CHADEMA yatumia Tshs 2.5 bilioni uchaguzi wa Igunga na kuondoka patupu
- Polisi Igunga yadhibiti vurugu za CHADEMA
- Wananchi Igunga wakesha kusheherekea ushindi wa CCM
- Viongozi wa CHADEMA wapoteana na kulaumiana
- Mbunge wa CCM Igunga ajiandaa kuapishwa bungeni, ashinda kwa kishindo
- Wananchi wa Igunga wafanya maamuzi ya busara kumrudisha Mbunge wa CCM Igunga
- Helikopta ya CHADEMA yarudi yaondoka, mmiliki wake aidai CHADEMA Tshs 1 billion
- Igunga kwawaka moto, viongozi wa CHADEMA waondoka kimya kimya baada yakushindwa
Ukiona hivyo basi ujue CCM Kwishney. Walichobakiza ni kauli za kulazimisha USHINDI LAZIMA, tusubiri matendo.Baada ya tarehe 2 oktoba 2011 wananchi wa Igunga kupiga kura za kumchagua Mbunge wao. Kuanzia tarehe 3 oktoba 2011, vichwa mbali mbali vya habari vya magazeti vitakuwa hivi :
- CHADEMA yapigishwa kwata Igunga
- Mgombea Ubunge CHADEMA akataa kusaini matokeo
- Wananchi wa Igunga wamchagua Kafumu
- Dkt. Slaa apata ugonjwa wa moyo kwa matokeo ya Igunga
- CHADEMA yatumia Tshs 2.5 bilioni uchaguzi wa Igunga na kuondoka patupu
- Polisi Igunga yadhibiti vurugu za CHADEMA
- Wananchi Igunga wakesha kusheherekea ushindi wa CCM
- Viongozi wa CHADEMA wapoteana na kulaumiana
- Mbunge wa CCM Igunga ajiandaa kuapishwa bungeni, ashinda kwa kishindo
- Wananchi wa Igunga wafanya maamuzi ya busara kumrudisha Mbunge wa CCM Igunga
- Helikopta ya CHADEMA yarudi yaondoka, mmiliki wake aidai CHADEMA Tshs 1 billion
- Igunga kwawaka moto, viongozi wa CHADEMA waondoka kimya kimya baada yakushindwa
Siyo kila uchaguzi chadema itashinda..ila mtajua tuu mkitenda mabaya Chadema watawapuku na mttangukia pua..Zaidi mtakuwa mmejifunza na mmewaogopa Chadema na ndiyo maana mmeiga style za Chadema kwenye Kampeni zao..Viongozi wooooote mmewapeleka Igunga kisa Chadema..Hofu ya nini ilikuwa?? Masaburi yako!!!! Na kama ikiwa Chadema wameshinda nyie itakuwa je?? Fisadi wee
Sasa kupiga kura kuna maana na manufaa gani kama mmeshapoka ushindi? Najua uwezo wa kufanya hivyo mnao....wachezaji nyinyi....refa nyinyi.......mtangazaji nyinyi....mashabiki nyinyi.....hata mpira nyinyi !!!!!!!