Lizaboni
Yannachokisema ni uhuni tuu mmekalia kanuni kanuni zama hizi muache ushenzi huu wakushilia mambo ambayo hayanatija kanuni za chama zimesaidia nini mbona mabilioni yanaibwa kutwa acha ujinga
Hakuna Mwanasiasa wakumfikia Edward Lowassa kwa sasa ni ustaarabu wa kihayawani kumsingizia ananunua watu ameahirisha kutangaza nia zaidi ya mara tatu lakini siku ametangaza amejaza watu karibia elfu sitini acheni unyokonyoko huyu jamaa ana shauku na uwezo apewe dola
Mods wa JF mmekua watu wa hovyo sana na mnashusha heshima ya JF huyu mpuuzi aliwahusisha mkapa na mwinyi na karume kuwa wapo Butiama juzi wakati Makongoro anatangaza nia jambo ambalo ni uongo mkubwa kwa wasomaji mmekaa kimya poor moderators soon jukwaa lenu halitatofautiana na Magazeti ya shigongo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.