Kwa kweli magufuli wakati barabara leo zinaanza kutumika nyingi kesho mbovu agghhh
Labda ajitangaze kuvutia na mengine maana anabania pesa za kuniwezesha nisafiri vizuri barabarani, na D11 ndio mjuto
kamwambie pinda aliye ruhusu magari yenye uzito mkubwa kuaribu barabara zetu,