Lowassa anakusudia kujitoa mbio za Urais

Lowassa anakusudia kujitoa mbio za Urais

Status
Not open for further replies.
Lowassa anakusudia kujitoa mbio za urais, hali ya kambi yake ni tete, mtifuano kati ya wanaotaka ajitoe na wanaotaka apigane mpaka tone la mwisho umeshindwa kufikia mwafaka dakika chache zilizopita.

Hali ni tete sana!

Mods wa JF mmekua watu wa hovyo sana na mnashusha heshima ya JF huyu mpuuzi aliwahusisha mkapa na mwinyi na karume kuwa wapo Butiama juzi wakati Makongoro anatangaza nia jambo ambalo ni uongo mkubwa kwa wasomaji mmekaa kimya poor moderators soon jukwaa lenu halitatofautiana na Magazeti ya shigongo
 
Labda nirudie tena kusema kuwa KUTAFUTA MTU MSAFI CCM NI SAWA NA KUTAFUTA MWANAMKE BIKRA KWENYE WODI YA WAZAZI....
Hata watoto wa kike waliozaliwa kwenye hiyo wodi ya wazazi nao hawana hizo bikra?
 
Hakuna Mwanasiasa wakumfikia Edward Lowassa kwa sasa ni ustaarabu wa kihayawani kumsingizia ananunua watu ameahirisha kutangaza nia zaidi ya mara tatu lakini siku ametangaza amejaza watu karibia elfu sitini acheni unyokonyoko huyu jamaa ana shauku na uwezo apewe dola
 
Mods wa JF mmekua watu wa hovyo sana na mnashusha heshima ya JF huyu mpuuzi aliwahusisha mkapa na mwinyi na karume kuwa wapo Butiama juzi wakati Makongoro anatangaza nia jambo ambalo ni uongo mkubwa kwa wasomaji mmekaa kimya poor moderators soon jukwaa lenu halitatofautiana na Magazeti ya shigongo

Mkapa si aliombaga awe mtoto wa nyerere, ina maana hakwenda kumpa shavu kaka yake?
 
Wewe humjui lowassa, sio mtu wa kuanzisha kitu na kuishia njiani.
 
WanaJF,

Mambo yanazidi kuwa mabovu kwa teamLowassa.

Hii leo kuna taarifa ya mhe Lugola na Serukamba kujiondoa kwenye teamLowassa.

Hadi sasa haijafahamika sababu hasa lakini imeelezwa katika tetesi ni kutokana na wawili hao kugundua kuwa hakuna tena uwezekano wa Lowassa kupitishwa katika ngazi za maamuzi ya chama kufuatia team yake kujaa watu wenye kashfa za rushwa, kukosa maadili na ufisadi.

Aidha, mbali na kujitoa kwa wawili hao, Lowassa mwenyewe anaendelea na safari yake ya matumaini mpaka kieleweke.

Ni haya ya kutaka kuyajuwa..
1. Hao .. wenye kashfa... ni akina nani na ni wanachama wa chama gani..??
2. Hao.. wenye kashfa... watahamia kambi ya nani ...???
3. Hao .. wenye kashfa... watakakohamia watahamia na kashfa zao au watasafishwa kama kawa..???
 
Hivi kwa mfano lowasa anakuwa rais, tutawahadithia nn watoto/wajukuu wetu
Manake kila kashfa ya rushwa anahusika au wapambe wake wanahusika
Yaan kweli rais anakuwa anamarafiki mafisadi!
 
Hata watoto wa kike waliozaliwa kwenye hiyo wodi ya wazazi nao hawana hizo bikra?
Hahahahha wale bado ni malaika wa Mungu hatuwezi kuwachanganya na huu uchafu wa dunia, I mean watu wazima ambao wamemudu kupita ghasia zote za dunia hii na bado wakabaki nazo......
 
lowassa anakusudia kujitoa mbio za urais, hali ya kambi yake ni tete, mtifuano kati ya wanaotaka ajitoe na wanaotaka apigane mpaka tone la mwisho umeshindwa kufikia mwafaka dakika chache zilizopita.

Hali ni tete sana!

utaota maziwa we mtoto !!
 
Sasa unasema ni mwanagesabu alafu unatoa hoja za mtu asiyejua hesabu, au ndio mambo ya kukariri??

Ata hujui kuwa probability ya 0.99999 ina tofauti kubwa na probability ya 1?na ata hujui tofauti ya probality ya 0.001 na probability ya 0??rudi darasani.
Unajuwa ila mgumu kuelewa huu ugojwa wako hauna tiba kama unazaidi ya miaka29 pole sana!!
 
Tujadili wana jforum uhalali wa kumshirikisha mwenza wako msaada unaotoa nyumbani kwenu
 
Akijitoa,akitoswa na mi ccm, nataandaa sherehe ndogo ila ya ukweli, nita waalika baadhi team EL (aka wasaka tonge),sababu huyu mzee simkubali namfananisha na Panya akiingia ikulu huyo atatoboa dari zte,masofa,mbao, nk hafai na binfc cmpend
 
kwenye wodi ya wazazi kuna watoto wachanga mkuu huwezi kukosa bikra
Mpwa ukiwataja watoto wadogo kwenye kutafuta bikra ni aibu, hawa ni malaika wa MUNGU hawajajua uchafu wowote, nazungumzia wale ambao ni Wazazi! Wodi ya Wazazi
 
kwenye wodi ya wazazi kuna watoto wachanga mkuu huwezi kukosa bikra

Astaghafirullahi!!!! watoto wachanga siyo bikra, ni wazi kwa statement ya mchangiaji wao ni NA (Not Applicable) ni sawa na kusema kuna wapigakura wangapi ndani ya wodi ya wazazi.
Sawa ndugu?
Eli note
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom