Recent content by kingtom

  1. K

    Taarifa kutoka jeshi la ulinzi la wananchi wa Tanzania (JWTZ)

    unafikiri siri huwa inatoka kwa bosi tu nchi yeyote duniani? "ulinzimagazine" kichekesho "N G O M E" Makao Makuu ya Jeshi, come-on!
  2. K

    Taarifa kutoka jeshi la ulinzi la wananchi wa Tanzania (JWTZ)

    kama barua hii ni ya kweli basi uozo wa kufa mtu wanatumiaje "yahoo" na sio "sever" yao kutunza siri za nchi ulinzimagazine@yahoo.co.uk
  3. K

    Kwa walio kwenye ndoa na waliowahi kuishi Kama mume na mke hii inawahusu!

    kwanza jua nini unahitaji, KUOA au LA / je mko tayari kuoana au la. Wasi wasi ni nini? Watu wengi hua wanasema ukikaa kwenye mahusiano ndipo utamjuwa mwenzi wako. Je ni kweli? Biaadamu hubadilika from better to worse, like wise. Huwezi sema nimekaa nae 5 years ndipo namjuwa mwenzi wangu, sio...
  4. K

    Tatizo la kula udongo: Fahamu visababishi, madhara yake na mbinu za kuacha

    Katika maeneo ya Afrika, maeneo ya vijijini ya Umoja wa Mataifa, na vijiji katika India, matumizi ya udongo ni uhusiano na mimba na baadhi ya wanawake kula udongo kuondokana na kichefuchefu, pengine kwa sababu kanzu udongo njia ya utumbo na inaweza kunyonya sumu hatari. Udongo zinaweza pia kutoa...
  5. K

    Kuna tofauti gani kati ya Hayati na Marehemu?

    Marehemu ni mtu aliye kufa lakini bado hajazikwa. Ndio maana huwa tunauliza alirehemeka lini? Hayati ndio alishafukiwa 6*6. Swali zuri. Hayati " the late" Marehemu " late"
  6. K

    Natafuta rafiki

    Share ur number
  7. K

    Msaada kuhusu Sheria ya Kazi

    Weka kwenye google then soma hio PDF tanzania labour law 2007 ACT
  8. K

    Nasubiri kumfumania mke wangu,naombeni ushauri wenu wanajukwaa!

    Well mzee kunamambo inabidi ujiandae kabla hujafanya. Maana huwezi jua unaweza ukaleta madhara kiasi gani kupiga/ kumuacha/ kuua. Fanya maamuzi ya busara kwanza kabla hujachukua maamuzi. Kama bado unampenda na unaona huwezi kumuacha then usimfumanie maana itakuumiza na kutokumuamini maisha yenu...
  9. K

    Benki inaungua

    Leta niwekeze kwenye kampuni yangu ya kilimo nitakuuzia share
  10. K

    Mirathi itanitoa roho, naombeni ushauri la kufanya

    Pole kwa msiba, very simple tafuta wakili lakini pamoja na hayo usikate tamaa maana is not a simple road. So far uko kwenye sehemu nzuri.
  11. K

    Kupungua au kukosa hamu ya kufanya mapenzi (low sexual libido or loss of libido)

    huwa anakuandaa au anakurukia tu? hufurahii kivp? kabla huja mweleza jua shida ni nn kwanza usije mvunja moyo kabisa na inaelekea huwa anafanya kwa uwezo wake wote
  12. K

    Mnigeria ashinda shindano la urembo la kiisilamu

    Swali lipi hp na unaona jibu hilo "shindano la kimataifa la wasichana wa kiisilamu kwa jina Muslimah mwaka 2013"au uko darasa gani?
  13. K

    Nina millioni 80 nataka ushauri wa biashara

    Mambo vp toa number i will call u
Back
Top Bottom