Natafuta rafiki

Natafuta rafiki

sawa mkuu walaji ni wengi humu huwa wanapinga hakuna urafiki wa kike na mwanaume......queeny kama kuna ambaye umevutiwa nae tuma pm... ila uwe makini isijeikawa mbuzi kafia kwa mppika supu uachwi

ndo tatizo la wabongo wengi. eti hakuna urafiki wa mwanaume na mwanamke?? really? ina maana wewe huna rafiki yeyote wa kiume isipokuwa mume/mchumba wako?? na kama unao, uko nao kimapenzi???? acheni hizo jamani, sometimes u just need to get away from familiar people
 
you people msicomplicate maisha, nimeeleza wazi what I want. sishindwi kutafuta mpenzi humu au elsewhere lakini nimeweka wazi sitaki mpenzi. not now, not ever. na mtu atayeleta ishu za mitongozo nitampotezea. I need a genuine friend. think what u want to think but my intentions are clear
 
mbona umeongea kama vile baba yangu? calm down. I know exactly what I want
Hapana mimi ni mzazi hivyo napenda kuona mtu anafuata palipo nyooka kwani najua nini upendo hata mimi hutamani mtu kumpa upendo mnyoofu ambao upo chini ya moyo wangu hivyo kusema hivyo sikwa nia mbaya ni kwa nia njema ili baadae umpate umpendae kwani hapa nikama jangwani ukiweka nafaka zipepesuka na upepo hivyo siyo zote zitaangukia sehemu moja itategemea na spidi ya upepo! miss chagga nasema uongo?
 
Last edited by a moderator:
Hapana mimi ni mzazi hivyo napenda kuona mtu anafuata palipo nyooka kwani najua nini upendo hata mimi hutamani mtu kumpa upendo mnyoofu ambao upo chini ya moyo wangu hivyo kusema hivyo sikwa nia mbaya ni kwa nia njema ili baadae umpate umpendae kwani hapa nikama jangwani ukiweka nafaka zipepesuka na upepo hivyo siyo zote zitaangukia sehemu moja itategemea na spidi ya upepo! miss chagga nasema uongo?
unasema ukweli mkuu........
 
huyo anatafuta mchumba mie natafuta rafiki, mbio zetu ni tofauti
Huo urafiki mama mwisho wake huwa ni kugegedana tu! Tena hakuna mtu rahisi kama hawa wanaojidai ni urafiki tu wa kubadilishana mawazo. Mimi niliishia kumgegeda wa kwangu, hivyo nina uzoefu na hiki ninachokisema, mama usituzuge hapa!!
 
ndo tatizo la wabongo wengi. eti hakuna urafiki wa mwanaume na mwanamke?? really? ina maana wewe huna rafiki yeyote wa kiume isipokuwa mume/mchumba wako?? na kama unao, uko nao kimapenzi???? acheni hizo jamani, sometimes u just need to get away from familiar people

nina marafiki lakini mwanaume at the en of the day atataka papuchi tu my dear labda kama si lijali..... take my words mwanaume atazunguka na wewe miaka hata kumi mwisho wa siku anawaza lini anafunua chupi yako
 
nina marafiki lakini mwanaume at the en of the day atataka papuchi tu my dear labda kama si lijali..... take my words mwanaume atazunguka na wewe miaka hata kumi mwisho wa siku anawaza lini anafunua chupi yako

Sema wewe mke mwenza....huwezi kuchat na mwanaume akakuacha hivi hivi labda awe mcha Mungu. Lazima atataka akufunue tu....hata kama hana hata chembe ya upendo juu yako atataka akuchungulie hata mara moja tu ndo anaridhika
 
jamani jamani niko kwenye upweke usiopimika. natafuta rafiki jinsia ya kiume mwenye uelewa wa maisha na mstaarabu asiwe na majigambo. nahitaji mtu wa kubadiishana naye mawazo ya kimaisha, taaluma, mahusiano etc. awe above 30 na asiwe mwanafunzi wa chuo. lengo langu hasa ni kushare life experiences ndo maana nahitaji mtu anayejitambua.

MUHIMU; mambo ya kutongozana sitaki kabisa. nahitaji rafiki sio mpenzi.

Yamkini ulizunguka kutafuta rafiki muda mrefu, yamkini ilikuwa bado mda wake. Huu ni wakati sahihi kwa sababu umenipata mimi, mwenye mahitaji ya sawia na ya kwako!
kijana mdogo, handsome ila hana pesa; ni pm tuongee zaid
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom