Ndugu atabaki kuwa ndugu hata iweje nakumbuka 2002 kuna ndugu yangu nilimpa kazi ya kusimamia shamba na mifugo
Sasa si akaharibu kwa kunitia hasara asikwambie mtu niliumia sana na tuliachana kwa viapo vikali sana, mwaka 2004 nikaja kukutana naye kwenye hizi harakati za maisha ndugu yangu...
Natofautiana na wewe huyu tangu 2020 alikuwa nje ya mfumo
Kwanini walimvuta tena na kumpachika kwenye mfumo?
Na ninajiuliza nani yuko nyuma yake au ana nini cha mno kwa sababu anaonekana kuwa na nguvu sana
Natumai wote wazima kabisa
Leo nimekaa nikawaza nikawazua bila majibu kamili, ila natabiri haya juu ya Makonda 2025 huenda akawa mgombea mwenza wa Samia, au atagombea ubunge Jimbo lolote kati ya Mwanza au dar baadae ataulamba, uwaziri mkuu au mambo ya ndani
Ni mawazo yangu msinipopoe mawe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.