Recent content by Kingsharon92

  1. Kingsharon92

    Furaha Dominic akamatwa akisambaza picha za Utupu

    CCM kumejaa mafisi -jakaya kikwete
  2. Kingsharon92

    Damu sio nzito kuliko maji

    Ndugu atabaki kuwa ndugu hata iweje nakumbuka 2002 kuna ndugu yangu nilimpa kazi ya kusimamia shamba na mifugo Sasa si akaharibu kwa kunitia hasara asikwambie mtu niliumia sana na tuliachana kwa viapo vikali sana, mwaka 2004 nikaja kukutana naye kwenye hizi harakati za maisha ndugu yangu...
  3. Kingsharon92

    Wakimbizi wa Burundi na Rwanda wanawekwa kwene makambi. Waarabu wa Sudani wanazurula nchi nzima

    Hawa warundi na wanyarwanda tuna historia nao ya ujambazi huko pori la biharamulo
  4. Kingsharon92

    Wakimbizi wa Burundi na Rwanda wanawekwa kwene makambi. Waarabu wa Sudani wanazurula nchi nzima

    Hao uliowataja warundi na wanyarwanda akili zao na tabia zao muda wowote wanakinukisha
  5. Kingsharon92

    Paul Makonda asema tukutane 2025

    Hivi ni nani aliye nyuma ya Makonda?
  6. Kingsharon92

    Paul Makonda asema tukutane 2025

    Natofautiana na wewe huyu tangu 2020 alikuwa nje ya mfumo Kwanini walimvuta tena na kumpachika kwenye mfumo? Na ninajiuliza nani yuko nyuma yake au ana nini cha mno kwa sababu anaonekana kuwa na nguvu sana
  7. Kingsharon92

    Paul Makonda asema tukutane 2025

    Natumai wote wazima kabisa Leo nimekaa nikawaza nikawazua bila majibu kamili, ila natabiri haya juu ya Makonda 2025 huenda akawa mgombea mwenza wa Samia, au atagombea ubunge Jimbo lolote kati ya Mwanza au dar baadae ataulamba, uwaziri mkuu au mambo ya ndani Ni mawazo yangu msinipopoe mawe
  8. Kingsharon92

    Ushauri: Nataka kuanza kuwa chawa ,uchawa unalipa

    Sifa za kuwa chawa 1. Unafiki 2. Usiwe na aibu 3. Usione shida kumshushua yeyote anayeingilia kibarua chako 4. Lazima uwe mshika miziziology Kulinda himaya yako
  9. Kingsharon92

    Historia fupi ya mji wa ROMA

    Anakaa mtaa gani hapo Roma nataka nikazungumze naye baadhi ya vitu
Back
Top Bottom