Recent content by Kingsharon92

  1. Kingsharon92

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya Uchunguzi wa kifo cha aliyeongeza uume yatoka rasmi

    Huoni huyo kijana mwenzio kafa kifo cha aibu hata kusoma tu chanzo cha kifo chake ni aibu
  2. Kingsharon92

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya Uchunguzi wa kifo cha aliyeongeza uume yatoka rasmi

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kijana mimi niko kawaida kabisa
  3. Kingsharon92

    JamiiForums Tanzania Raia 134 wa Burundi wamekamatwa Tanzania huku mvutano wa uhamiaji ukizidi kushika kasi katika ukanda wa Afrika Mashariki

    Warundi hawana sauti kuanzia nyumbani ugenini kote ni shida tu
  4. Kingsharon92

    JamiiForums Tanzania Raia 134 wa Burundi wamekamatwa Tanzania huku mvutano wa uhamiaji ukizidi kushika kasi katika ukanda wa Afrika Mashariki

    Kwa ukanda huu wa Africa mashariki warundi huwa ni kama second citizens
  5. Kingsharon92

    JamiiForums Tanzania Makabila Maarufu Afrika

    Ngoja wenye makabila yao waje
  6. Kingsharon92

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda amaliza kutoa ushahidi Mahakamani Septemba 9, 2026

    Mmmmmhhh! 🤣🤣🤣
  7. Kingsharon92

    JamiiForums Tanzania Chanzo cha Ugomvi wa jana kati ya Trafiki na Daktari ni rushwa. Rushwa imekuwa haki ya askari wa usalama barabarani.

    Tena wanajipangia kabisa rushwa bila uoga
  8. Kingsharon92

    JamiiForums Tanzania Makosa ya baadhi ya Askari wa Usalama Barabarani (trafiki) wasio na weledi yaliyowahi kusababisha maafa

    Nchi hii huwezi kutofautisha kati ya msomi na ambaye hajasoma Waliosoma na kuaminiwa wakapewa mamlaka ya kusimamia sheria ndiyo namba moja wa kuvunja sheria na kwenda kinyume na maadili na miiko yao ya kazi, kuna muda unatamani tuwe kama Somalia🇸🇴 muuza mirungi ana AK47 mnunuzi naye ana AK47...
  9. Kingsharon92

    JamiiForums Tanzania Prof. Tibaijuka: Mimi ni mtu wa CCM nasikia Vijana wananishughulikia

    Chochea 🔥 moto mama koku
  10. Kingsharon92

    JamiiForums Tanzania Xenophobia in Kenya: Baadhi ya Wakenya wameamua kuchukua jukumu la kufukuza raia wa kigeni

    Wakihamia kwa wa Tanzania hapo ndiyo tatizo litakuwa la kiwango cha sgr
  11. Kingsharon92

    JamiiForums Tanzania Xenophobia in Kenya: Baadhi ya Wakenya wameamua kuchukua jukumu la kufukuza raia wa kigeni

    Tuna safari ndefu sana tunashindwa kupambana kutatua changamoto zetu, badala yake tuanawatupia lawama wageni, watawala punguzeni ubinafsi na kujilimbikizia mali ili wote tupate japo kipande cha keki ya taifa, mkimaliza kuwafukuza wageni mtabaki wenyewe na tatizo likiwa paleple mtaanza Kushikana...
  12. Kingsharon92

    JamiiForums Tanzania NJOMBE: Amuua mumewe kwa kumpiga na chuma kichwani

    🤣🤣🤣🤣🤣 vijana kaeni kimchambuko hawa wanawake wameamua kutuwahisha mbinguni mapema
Back
Top Bottom