Kesi ya mchongo ni ngumu sana kunyoosha maelezo naona upande wa serikali wanajidhalilisha tu mbele ya walimwengu
Sasa mkuu mtoa order mwenyewe ni debe tupu unategemea nini
Hivi akili mnazosema wanazo wahaya ni akili zipi hizo ambazo zimeshindwa kutatua changamoto za kijamii, mpaka mkoa wao unashika namba 1 kwa kuwa mkoa masikini au mimi ndiyo sielewi
Punguza makasiriko kijana mambo ya shule nilishayasahau miaka 47 iliyopita nakushauri tu jichange upate kutembea na kama unataka kujua mama yako anajua kupika au hajui jaribu kula na kwa jirani
Tatizo lako yawezekana umezaliwa kahama umekuliaa kahama umesomea kahama na una mpango wa kuwa na familia kahama, ndyo maana unapaona kahama ni Dubai au London cha kukushauri mkuu hujachelewa jichange uende japo Hongkong uone nini maana ya jiji na nini maana ya mipango miji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.