Nchi hii huwezi kutofautisha kati ya msomi na ambaye hajasoma
Waliosoma na kuaminiwa wakapewa mamlaka ya kusimamia sheria ndiyo namba moja wa kuvunja sheria na kwenda kinyume na maadili na miiko yao ya kazi, kuna muda unatamani tuwe kama Somalia🇸🇴 muuza mirungi ana AK47 mnunuzi naye ana AK47...
Tuna safari ndefu sana tunashindwa kupambana kutatua changamoto zetu, badala yake tuanawatupia lawama wageni, watawala punguzeni ubinafsi na kujilimbikizia mali ili wote tupate japo kipande cha keki ya taifa, mkimaliza kuwafukuza wageni mtabaki wenyewe na tatizo likiwa paleple mtaanza
Kushikana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.