KAHAMA NI MJI WA HOVYO SANA.

KAHAMA NI MJI WA HOVYO SANA.

Kahama ni mji unaosifiwa sana na watu washamba ambao hawajatembea miji ya wenzetu ambao wanatumia rasilimali zao vizuri kupendezesha miji yao.

Siku nilipofika kahama nikawa najiuliza hizi sifa zinazomiminwa kuwa kahama ni mji mzuri kwa nini mimi sizioni.Ukianzia miundombinu ya barabara ni mashimo tu na vumbi la kutosha.Mji wenyewe kwa ujumla umejengwa kiholela(hakuna mvuto na unanuka(kila sehemu takataka.

Stendi yenyewe ya hovyo tu licha ya kuwa na mapato makubwa yatokanayo na migodi.NINYI WASHAMBA MNAOSIFIA HUU UTOPOLO MJITAFAKARI AU MJITAHIDI MTEMBELEE NCHI ZA ULAYA AU HATA TU RWANDA.NAHITIMISHA KUWA MIPANGO MIJI TANZANIA NI ZERO.
Kwa nini useme ni washamba tuanzie hapo, kuhusu kujenga miundo mbinu ya Barabara ni kazi ya wana inchi au serikali? Una sema mji una Nuka ni kweli, huko kwenu Dara hapa nuki? Acha uboya mshamba mk
 
Tatizo lako yawezekana umezaliwa kahama umekuliaa kahama umesomea kahama na una mpango wa kuwa na familia kahama, ndyo maana unapaona kahama ni Dubai au London cha kukushauri mkuu hujachelewa jichange uende japo Hongkong uone nini maana ya jiji na nini maana ya mipango miji
Siku hizi ni utandawazi.yeye aingie tu google mipango miji ya china,malyasia,ufaransa au usa
 
Acha hila na majungu,kwani umelazimishwa kwenda kahama ,unaweza kupasifia kwenu au unapopaona panafaa bila kuponda sehemu,nyingine,

Jua kuwa ukitoa majiji kama ( dar,Mwanza na Arusha) unatakiwa ujue Tanzania inafanana fanana Sana kaa ukijua Hilo mshamba wewe
NDiyo maana nikasema kwa Tanzania nzima kwa ujumla mipango miji ni sifuri.Halafu haya siyo majungu bali nimesema ukweli kuwa kahama pananuka na hapafai kwa makazi labda kwa kuchuma tu mali za migodini.
 
Hivi unajua maana ya jiji au unajua maana ya mipango mijii? Hebu fanya mpango utoke hapo kahama mkuu unakuwa kama umefungiwa kwenye box📦
Ebu ficha umbumbu wako naendelea jifunza vitu punguza ujuaji ooh toka nje wewe umeambiwa kahama ni jiji au ujui hadhi ya mji wa kahama nini
 
Ebu ficha umbumbu wako naendelea jifunza vitu punguza ujuaji ooh toka nje wewe umeambiwa kahama ni jiji au ujui hadhi ya mji wa kahama nini
Mbona umepanic bwana mdogo
Relax maisha ni haya haya hebu fanya mpango utoke hapo kijijini kahama 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom