Swafwi sana kijana, watu kama ww ndo wanaotafutwa. Ngoja waje wanaofahamu vigezo wakupeleke kabisaaaa ila maumivu kule ni kumeza hakuna kutema. Kaz kwako
Naona tuanze kuhifadhi kwenye soksi sasa, mwanaume nunua soksi ndeffffffff zile pandisha had kwa paja pachika mpunga wako....... Uko safe na utatembea hata na mil. 30 uonekane unazo.
Ninayo wallet yangu simpo nikikunja note vizuri huwa zinakaa hadi noti 70, fanya hesabu huwa inaingia bei gani hiyo. Mbali na hapo njia za kihifadhi pesa siku hizi ni rahisi sana haina haja ya kutembea na milion mfukoni bwn
Habari za jeshi huwa haziwekwi public, zikitoka huwa ni kuhusu jeshi tu na ndani ya jeshi. Hupaswi kukata tamaa kwa namna yoyote ile ila silaha kubwa uvumilivu na kusubiri chombo husika kikutaarifu chenyewe wala hapahitaji tetesi hapo. Hizi mnazopashana humu hata mkiondoka zitaendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.