Duh,serikali inaratiza watu kwa kweli maana wa private anataka kurudi serikalini na wa serikalini anataka kwenda private yaan ni shida tupu.....LAKINI cha msingi ni kama walivochangia wengine sasa hivi upepo umebadilika kwa watumishi tunatakiwa kuwa na ajira huku tukijiwekeza katika ujasiliamali...
Hivi ndivo hata mimi ninavozania..maana kama America angekuwa na vibaraka wa kutosha NK kama vile FBI angekuwa tayar ameshamsoma anajivunia nini NK lakin naamini hawa makachero wameshindwa kupata taarifa za kijeshi...NK ni wababe wanaochipukia na kutawala jukwaa.
Jaman kama ni kweli hizi ni hatar tuungane kwa pamoja wanajf kupiga kauli mbiu kupinga mpango wa serikali kupitisha mbegu hizo...tusizungumzie hawa wasomi maana tayar wameshapewa semina na marupurupu kipao kiasi kwamba jambo la kweli linakuwa la uongo na la uongo ndo linakuwa la kweli...mungu...
Marekan hajui exactly nguvu ya babu kiduku ndo maana anashindwa kufanya maamuzi ya kumvamia au kumpiga...maana kwa kurupukurupu za trump angekuwa ameshamchapa..kwa hiyo intelijensia ya marekan bado haijapenya kupata ukweli wa nguvu za kivita za NK
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.