Pentagon And South Korea Respond

Pentagon And South Korea Respond

Bwana mapanki anawapa hofu US sana japo wanamdharau lakini anawafanya wasumbue akili zao maana hawajui anawaza nini ukizingatia jamaa mwenyewe kama amedata

Tehe!, kwa kweli...lol

Wanamdharau nje tu ndani anawakosesha usingizi

Kuwakosesha usingizi kupo, maana mtu mwenyewe haeleweki eleweki halafu ana Nuke,
ambayo haijawahi kumwacha mtu salama.
 
Kiduku si kuwa ana nguvu sana
Marekani inamvumilia sababu ya SKorea na Japan tofauti na hapo angekuwa keshagongwa sana tu
Ukute Marekani inajiandaa kuwadungua bila wao kujua kwani SKorea akijua atahamisha wananchi wake na NKorea akijua wananchi wanahama anajua kinachofata ni moto hivyo anaweza anza tupa yale madude yake hovyo hovyo

Eti hovyo hovyo...lol!

Lakini tusiombe haya yatokee, kwa akili yake na vile he has nothing to lose, hashindwi.
 
Kwa sasa baada ya test ya kombola la tarehe 4 Jully ndo vita na Marekani vimerudi nyuma!.
Kinacho waumiza ni kuwa hawajui uwezo wa siraha zake na anazo ngap
Mwez April baada ya kufanya test mbili na kufeli wakasema itamchukua miaka mitano ku -master technology ya ICBM ila iyo test ya 4 Jully kombola linaweza fika mpk Alaska Marekani!..
Sasa sio tena S.k na Japan ndo wapo kwenye range ya kupigwa ila hata Marekani huko Alaska!.
Kibaya ingine zinazotumika kuendesha hayo madude bado zinawaumiza kichwa American!..
I thnk mpk mwez wa 10 watatest kombola lilalofika kokote!.
Hapo ndo lasmi wataitana kwenye meZa ya mazungumzo!.
 
Walau sasa US ameacha unaa leo amekubali kuwa kidutu amefyatua ICBM na anaweza kuyatekeza baadhi ya majimbo ya US
 
Marekan hajui exactly nguvu ya babu kiduku ndo maana anashindwa kufanya maamuzi ya kumvamia au kumpiga...maana kwa kurupukurupu za trump angekuwa ameshamchapa..kwa hiyo intelijensia ya marekan bado haijapenya kupata ukweli wa nguvu za kivita za NK
 
Tatizo sisi wajuaji kuliko kina Mattis na ukiangalia sisi hatujawahi kwenda hata mgambo ila twajua sana

Marekani anafanya risi assessment kwanza anataka amfanyie surprise attack ambayo hatakuja sahau maisha hata wengine wataogopa kupiga bit
 
Tatizo sisi wajuaji kuliko kina Mattis na ukiangalia sisi hatujawahi kwenda hata mgambo ila twajua sana

Marekani anafanya risi assessment kwanza anataka amfanyie surprise attack ambayo hatakuja sahau maisha hata wengine wataogopa kupiga bit
Kwaiyo wewe ni nani?
Na umejuwaje marekani ana jipanga?
Alisha ambiwa arushe risasi moja tu kwenda north Korea aone madude yatakavyo ibuka yenyewe Automatic ata kim akiwa amelala!!
Marekani akapeleka meli vita kibao akambiwa na kim nina weza zizamisha kwa pigo moja tu sijuwi kama unajuwa maana ya pigo moja maanake hakuna kubahatisha !! Trump ikabidi akazifungie ndani huko south korea na ki jua cha alifari kilipo chomoza huyooo akaondoka zake taratibu kama nyoka!!
 
Kwaiyo wewe ni nani?
Na umejuwaje marekani ana jipanga?
Alisha ambiwa arushe risasi moja tu kwenda north Korea aone madude yatakavyo ibuka yenyewe Automatic ata kim akiwa amelala!!
Marekani akapeleka meli vita kibao akambiwa na kim nina weza zizamisha kwa pigo moja tu sijuwi kama unajuwa maana ya pigo moja maanake hakuna kubahatisha !! Trump ikabidi akazifungie ndani huko south korea na ki jua cha alifari kilipo chomoza huyooo akaondoka zake taratibu kama nyoka!!
 
Mama lile dudu la kiduku siyo la kitoto au la ki sports sports 40minutes 930kilometres si mchezo lazima trump na wauza maneno wenzao uk akili ziwakae sawa hapo huto msikia France akiongea maana ameshaona !!
Du hii itakuwa taste kwa yule mama waziri mkuu wa UK kama atamsupport Trump. Inawezekana katika issue hii akabaki yes yes it's no bad idea. Mkuu tumuombe Mungu tu
 
Du hii itakuwa taste kwa yule mama waziri mkuu wa UK kama atamsupport Trump. Inawezekana katika issue hii akabaki yes yes it's no bad idea. Mkuu tumuombe Mungu tu
Omba omba mungu sana siku USA akipigwa dunia itakuwa sehemu salama sana hutosikia neno ugaidi wala kuibiwa makinikia !!
 
Back
Top Bottom