Recent content by kingchillo2009

  1. kingchillo2009

    JamiiForums Tanzania Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Status:Job seeker or internship Education:Degree Professional: Bachelor of Laws Gender: MALE Location: Dar es salaam Contact: 0678 812 175
  2. kingchillo2009

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Nnashida na wimbo mmoja uliimbwa na Band ya Tam Tam unaitwa chande..Mwinjuma Muumini akiwa ndani mwenye nao naomba anisaidie
  3. kingchillo2009

    JamiiForums Tanzania Biashara gani unayoweza fanya yenye uwezo wa kuingiza milion 300 kwa mwaka kwa kutumia mtaji wa bilion 1?

    Nunua FAW au Shacman 3 za kubeba Mchanga, kokoto na mahitaj mengine ya ujenzi hesabu yake ni 500k mpk 600k ukiwa nazo 3 utapata 1.5 per day...nawasilisha
  4. kingchillo2009

    JamiiForums Tanzania Muvi na series zilizoandikwa vizuri

    Mtu ambaye analink ya kudowload better call Saul s2 to s6 anisaidie
  5. kingchillo2009

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    0059
  6. kingchillo2009

    JamiiForums Tanzania Kama kweli Mungu hayupo, who organized haya mambo duniani?

    Umeeleza kama kwenye series ya From jamaa wanavyotafuta majibu ya kuwatoa katika lile eneo...
  7. kingchillo2009

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, ni kabila gani uliambiwa usioe/ usiolewe nalo na kwanini?

    Wazigua je ?
  8. kingchillo2009

    JamiiForums Tanzania Tunaofuatilia kazi za bomba la mafuta Uganda -Tanzania (EACOP) DIT tukutane hapa

    Naomba kuuliza kunahawa agents wa kuwatafutia watu kazi wanaitwa JOB JUNCTION TANZANIA vp kuna mtu ana ABC zao ?
  9. kingchillo2009

    JamiiForums Tanzania Tumalize Ubishi: Tundu Lissu nitajie IGA au BIT inayoeleza kutakuwa na HGA alafu bado inayoenesha kiwango cha uwekezaji na mgawanyo wa mapato?

    Meaning of IGA ni Inter Governmental Agreement Ukiangalia Dubai sio nchi, na ndio mana mawakili wakawa wanasema kuwa DP world na Dubai haziina capacity ya kuingia kwenye IGA bali UAE ndio wangeweza kufanya hivo.Tanzania ni nchi sasa kivipi uiite IGA mkataba ulioingiwa na party ambae hana...
  10. kingchillo2009

    JamiiForums Tanzania Baada ya ku postpone Masomo UDOM nakua valid kurudi chuoni kwa muda gani?

    only 2 yrs from the day ulopostpone
  11. kingchillo2009

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    2A4C9BA Bet pawa
  12. kingchillo2009

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    FF1BF64 betpawa
  13. kingchillo2009

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    AA9D279 bet power over 0.5 kipnd ch kwanZ
  14. kingchillo2009

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    1x Bet Codes Basketball 24XIK SBYIK
Back
Top Bottom