Recent content by king_fahd

  1. king_fahd

    Shilole aamua kuonyesha minyonyo Ubelgiji

    Hp mambo yt ulizi tena ukiomba unapigwa kibao.
  2. king_fahd

    Man'dojo na Domokaya

    Mbona jamaa tupo nao hapa mtaa wa kongo n Narung'ombe wanauza viatu vya kike tena maarufu sana kwa wanawake ukifika dukan kwao wanawake wanakanyagana.
  3. king_fahd

    Hizi ndizo sifa za mwanaume rijali, soma ili ujue upo kundi gani

    Mm sisemi uongo nimetembea n wamawake wengi niliokaa nao kwa muda w mwaka n zaidi n watano na niliokaanao zaid y miaka 3 n zaid wawili,ss cjui niseme tatizo au hisia naweza kulala mwanamke zaid y siku nzima nisikoje,katika wanawake niliokua nao hawa wawili tu ndio waliowai kunikojoza ndan ya ck...
  4. king_fahd

    Sijawahi kuona pweza wakitumika kama mboga.

    Pweza hawezi kua mboga,mboga n jamii ya vyakula vya majani,sipendi kukuosoa ila nakusahihisha pweza ni kitoyo,km kuku,ng'ombe,mbuzi n samaki wa kawaida,kwa hy tofautisha kitoyo n mboga, Pweza anaweza kupikwa mchuzi wa aina unaotaka ww mlaji,mchuzi wa maji,mchuzi wa mafuta,mchuzi wa Nazi,pweza...
  5. king_fahd

    USAHIHI: UKAWA hawajagawana Majimbo

    Kwa upande wetu wa Zanzibar yy ataesimamishwa kwa tkt ukawa ss tutamchagua,huku mgombea wa ukawa ajue anamtaji wake bila y pingamizi.
  6. king_fahd

    CCM 2015 wajiandae kukabidhi nchi kwa UKAWA

    Habar chin y mkeka Lowasa,Membe wametolewa njee rasmi n kutogombea uraisi tiket ya ccm.
  7. king_fahd

    Job Ndugai ni mgonjwa, hawezi hata kuongea...

    Sio peke yake,habar zilizo chini chini yule mama mwenyekiti wa umoja wa wanawake wa ccm Zanzibar yule anaongoza kwa siasa za chuki n ubaguzi aliembagua jussa n kumtukan kwenye bunge la katiba,mama Asha Bakar Mtama nae hali yk sio nzuri nainavyosemekan time yoyote anapelekwa India,chanzo kikubwa...
  8. king_fahd

    Leo nimebaguliwa na Wahindi

    Ww ungetoa Airfresh ukapulizia.
  9. king_fahd

    Ni wife material ila hana hips

    Sio muoaji kwa ww unataka bastol au hicho kipochi cha siri?
  10. king_fahd

    Wakati unatongoza uliambiwa leo wivu unatoka wapi?

    Hii dunia ya mapinduzi pindua n ww upinduliwe,hakuna msitu usiokuwa na nyoka.
  11. king_fahd

    Utafiti: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na ukweli wake!

    Mkuu kwenye hy safu yko y utafiti ungeongeza ya 5 ya wezi wanaotuibia kodi zetu,nadhani hapo tungejua mfumo upi unaotengeneza wezi.
  12. king_fahd

    Rais Kikwete, Inafika Muda Unasema Basi. Hii ni Aibu Sasa !

    Hy kashifa,unapozugumzia jambo la binafis jaribu,kuweka ubinafis,usishirikishe n watu au jamii fulan hilo nikosa,n unyanyapaa,Kwan nyinyi watu wa bara mna mabaya mangipi hatuyasemi!
  13. king_fahd

    Mwenye namba hii ni tapeli 0656777151 kaliza mtu tayari

    Mm mwenyew kanipigia jana jion mida saa 12:30 nakuniambia mtoa huduma ya tigo pesa,kanimbia kuna huduma y bima ya ajali km nataka kuungwa nimtumie 10000,sema alikosea kitu nikamshitukia kanitajia umri tofauti niliosajilia kwenye tigo nikaanza kum bana akawa anatoa maelezo y...
  14. king_fahd

    Mwanamke akutwa na risiti ya lodge

    Mm mwenye sijamuelewa!!!!
  15. king_fahd

    Papa Francis: There are limits to free expression

    Hakuna mkiristo hatayeweza kuimaliza dunia,km kukashifia wote tunakashifian lkn sio kwa kutumia media,nionyeshe gazeti moja la kiislamu lillilowai kuchora kikatuni cha Yesu,km tukashifian n ss wa afrika tena wa mashariki kwenye miadhara yet y kina Mazinge n Simba Uranga,lkn ukiangalia debet...
Back
Top Bottom