Ni wife material ila hana hips

Ni wife material ila hana hips

mpe hela alafu mtoe sehem za menu nzuri mabaga, pizza , chips nk alafu msikilizie unaweza kuta ni maisha tu home menu hafifu na mawazo kibao ndo yanamnyonya, usifanye maamuz haraka jiridhishe kwanza!!! kama juz ndo umepewa mzigo inaonyesha hauko nae mda mrefu so mpe muda with furaha na menu nzuri anaweza akarud.
 
Mwanamke tabia, sio umbo wala sura. Ila kama unapenda zaidi hips endelea kutafuta.
 
Wekapicha ya hizo hips tuone
Ni mzuri kwa sura na ana tabia nzuri anapenda kuvaa magauni na nguo zisizombana ili umbo lake lisionekane. Jana jumapil alinikubalia mechi ndo nikaona alivo.

Mwenzenu nilishaamini hapa nimepata mke sa kumbe binti hana hips hata kidogo ambacho ndo kitu kinachonipagawisha zaidi kwa mwanamke. Nashindwa kufanya maamuzi nimuoe tu au nimuache nitafute mwingine.
 
Ni mzuri kwa sura na ana tabia nzuri anapenda kuvaa magauni na nguo zisizombana ili umbo lake lisionekane. Jana jumapil alinikubalia mechi ndo nikaona alivo.

Mwenzenu nilishaamini hapa nimepata mke sa kumbe binti hana hips hata kidogo ambacho ndo kitu kinachonipagawisha zaidi kwa mwanamke. Nashindwa kufanya maamuzi nimuoe tu au nimuache nitafute mwingine.

Usijidhulumu nafsi yako au kumdanganya mtoto wa watu, piga chini, tafuta hips unazopenda.
 
Duh sasa c umshukuru Mungu tuu umuoe...namuonea huruma uyo bint

Huko ndio kudanganyana. Unaoa mtu kwa kumhurumia, hakutii ashki, husisimki ukimuona halafu ukichepuka unajiuliza imekuwaje?
Unakuta mtu anatelekeza watoto bila huruma kwa vile kakutana na anaemsisimua na kugundua kuwa hakuwa akimpenda mkewe, msingi ni mambo kama hayo ya kuoana kwa huruma.
Mwanamke anakubali kuolewa kwa shinikizo la uswahiba wa wazee, njaa, marafiki, umri halafu baadae akichepuka anashangaa imekuwaje?
Chukua unachokipenda.
 
sasa kwanini hua mnajiremba?

Nashangaa! Eti uzuri wa mwanamke sio urembo ni tabia! Hii kauli ina mushkeli sana, mwanamke anapojiremba anakuwa na lengo la kujipendezesha ili awe na mvuto, kama urembo usingekuwa na umuhimu kwa mwanamke, hata kusuka, kwenda saloon, kununua nguo nzuri lisingekuwa jambo la muhimu kwao.
 
hivi hata wanawake nao wanatuchambua namna hii jaman?? mara hips mara tako mara figure cjui shepu, rangi, unene wembamba sura macho tumbo urefu nywele miguu lips kope nyusi maji, mnato imetumika kiasi gan nk.. tutafika kweli kama mtu akiwa na nyusi fupi tu anapigwa chini!

Ina maana hujui au unatania mkuu? Au hujawahi kutongoza mwanamke wa Town, ukazungushwa kwenye migahawa yote ya mjini ili akupime mfuko ulivyo, kama usafiri uliokuja nao siku ya kwanza ni wako kweli au uliazima, uko tayari kutumia kiasi gani kwake, akaunti yako ni stable au ya kipindi cha msimu wa mavuno ya kahawa tu, una uwezo wa kumpumbaza kwa malezi na zawadi zisizoisha, uko outgoing, mashosti zake wana maoni gani.
Kote huko ni kuchambuliwa, haya yapo pande zote, huwezi kukurupuka tu kufanya maamuzi mazito bila kuzingatia vigezo vyenye kukufanya udumu katika mkataba mgumu kama ndoa, mtaishia kutesa watoto wa watu bila sababu za msingi.
 
Ni mzuri kwa sura na ana tabia nzuri anapenda kuvaa magauni na nguo zisizombana ili umbo lake lisionekane. Jana jumapil alinikubalia mechi ndo nikaona alivo.

Mwenzenu nilishaamini hapa nimepata mke sa kumbe binti hana hips hata kidogo ambacho ndo kitu kinachonipagawisha zaidi kwa mwanamke. Nashindwa kufanya maamuzi nimuoe tu au nimuache nitafute mwingine.

Sio muoaji kwa ww unataka bastol au hicho kipochi cha siri?
 
Duu kaka hutajitambua unahitaji kutulia ujue maana ya mke, hata angekuwa na hips ungeona dosari nyingine ungelalamika pia, jitambue kaka yangu hivyo vingine ni vya kupita tu hapa duniani, na vina mwisho, wish you good end
 
And for good you have to leave her because uta mnyanyapaa sana katika maisha yake, mwache atapata wa kufanana naye may be you were not born for her, usimnyanyapae please, unaweza kuona hata wewe huna kifua au.......... thats not good
 
Yaani siku hizi kwenye kuoa watu wanaangalia vitu visivyo vya muhimu sana
 
Sasa kama ni hips ndo linakupagawisha ulivutiwaje kumtongoza wakati hujaona hips ???.
 
Kabla hujamvua hukuona kuwa hana hips?Usitafute sababu ya kumuacha,sema huna mpango wa kumuoa tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom