Bajaji ipo katika hali nzuri kabisa, imetunzwa.
Injini ipo Moto, hajaguzwa
Ipo barabarani inafanya kazi
Vibali vyote halali vipo
Bei Tsh 3.4 Million
Maongezi yapo
Ipo Korogwe -Tanga
Piga 0755-100118
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili nalo linapaswa kutizwa kwa jicho la pili..kutakuja kutokea teja anaenda kuchukua mafuta yaliobaki akiwa Na sigira mdomon hapo balaa ndio linafuata
Kila mtu anaridhiki yake duniani..unaweza ukawa hauna kitu ndani lakin ukaamua kuoa mke,baadae Mke akawamzalishaji mkubwa ndani ya familia.. Mkajikuta mnanunua vitu vyote mpaka ambavyo ulikuwa huna.
Tusifikiri wanawake hawana ridhiki zao maishani.
Habari Wana Jf...naomba kwa alie na ujuzi anasaidie,Leo nilikuwa nafanya application ya Loan board Lakin kila nikiingiza namba ya form four (index number) na ku-cofirm Sipati namba ya Malipo (Controll number)..nimepiga simu board Lakin hawapokei simu kabsa...Mwenye ujuzi tafadhari anijuze...
Hii shule ina dahiri wanafunzi...wenye division 1 tu...na mwenye combination za point 3 kwanini wasifanye vizuri???
Kuna vitu vingine sio vya kusifia sana
Bwana jera ana kesi ya kujibu..sio rahisi mtu kujikata wembe kirahi hivyo. Huenda Bwana jela aliweka mikono yke pale,pia kwa nn akatae taarifa za kidaktar juu ya binadam mwenzake??achunguzwe
Kesi imeisha..mwisho wa siku utasikia “mtuhumiwa alitenda kosa akiwa bila kikusudia au hakuwa katika hali ya kawaida kipindi akitenda kosa”
Kesho kutwa tu atarudi mtaani..ila njema ime r.i.p
Hapa nakuunga mkono,unajua wabongo wengi wanashani Iran itasimama pekee yake katika vita la hasha..kuna nchi kama north Korea,urusi,China Na uturuki,hawa wanamnga mkono Irani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.