KinG Modric
Member
- Aug 16, 2018
- 45
- 43
Habari Wana Jf...naomba kwa alie na ujuzi anasaidie,Leo nilikuwa nafanya application ya Loan board Lakin kila nikiingiza namba ya form four (index number) na ku-cofirm Sipati namba ya Malipo (Controll number)..nimepiga simu board Lakin hawapokei simu kabsa...Mwenye ujuzi tafadhari anijuze.
==========Asanteni=========
==========Asanteni=========